Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,366
- 176,197
- Thread starter
- #41
Ha ha ni shider kwa wanaume wa sasa ivi wasipopewa masharti kwenye counter book lazima ile kwako maana watakuonea lazima bora kukomaa naye na masharti magumu kuliko ya world bank ili wawe kwenye mstari
waambie mama maana wanajitoa sana akili hawa