Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,334
- 176,127
- Thread starter
- #1,141
Punguza hasira kijana, hauwezi kupanga idadi kubwa ya watoto wakati hali yako tia maji tia maji. Unless una mke asiejielewa nae. Na msije kutusumbua tu baadae kutaka misaada.Ha ha ha ha ha na hata kutafuta kwa Jasho hata laki moja ni kwa Jasho Woman.
Huwez kupanga idadi ya watoto niwatakao wether nina uwezo or not Kazi yako ulioletewa ni kuzaa thats all mengne hayakuhusu.
Your money your Rules and My money my rules, Mpe mama yako akushikie or whatever as long as pesa ni yako
But if its my money forget that, Usimuamin mwanamke hata kama anakutania "Mwana Fa"
Your money our money, raha iliyoje!!!