Msimamo wangu

Msimamo wangu

ungekuwa karbu ungefnya field nyumbn kwangu ili uone kma unaweza kwa vitendo man mm nnahtaj mwanamke wa aina yako ili nkishndwa wanaume wajfunze kuptia mm kwa tabia zako na ww ukishndwa bad wanawke pia wajfunze kuptia ww kushndwa,, nkupe contact!!!
 
Bas nenda kautafute halafu ndio utajua kuzaa kwa uchungu kukoje.
Niutafute ili iweje wakati mimi sio nguruwe? Kumbuka am a mother kwahiyo huo uchungu naufahamu bonny.
 
hahahaha nachejka huku naongea na simu taftrani tupu wewe jaman hahaha nikajua ushkuwa nguruwe na umeenda labor ya nguruwe hehehhe
Hahahaaaaa!! Si unajua akuchaguliae tusi, basi mie nacheka tu, maana sio kwa haira hizi.
 
ungekuwa karbu ungefnya field nyumbn kwangu ili uone kma unaweza kwa vitendo man mm nnahtaj mwanamke wa aina yako ili nkishndwa wanaume wajfunze kuptia mm kwa tabia zako na ww ukishndwa bad wanawke pia wajfunze kuptia ww kushndwa,, nkupe contact!!!
We endelea na field tu mkuu.
 
Ooooh Hongera sana sikujua hilo ila mie nilikuwa nazungumzia idadi zaid na sio Uchungu wa kuzaa in such
Idadi ninapanga mimi in case you didnt know.
My body my rules you know!!

Kwanza hiyo idadi ya nguruwe unaweza kuilea? Au unafikiria kumkomoa mwanamke unasahau kuwa ni jukumu lako hilo?
 
Idadi ninapanga mimi in case you didnt know.
My body my rules you know!!

Kwanza hiyo idadi ya nguruwe unaweza kuilea? Au unafikiria kumkomoa mwanamke unasahau kuwa ni jukumu lako hilo?
Unapanga wewe kwan kaz yako ni nin ndio maana nmequote ule msemo wako wa Nitatafuta kwa Jasho na Utazaa kwa uchungu haina Exclusivity ya kitu chochote hyo sentensi
Ukianza kupanga hilo Jua hata mie ntapanga kwenye kutafuta kwa Jasho.
If its your body ur rules then its my money my Rules.
 
mie mwenyewe nimekuelewa!
Hivi ni kwanini mwanaume akielezea misimamo yake mtu hashangai, tena na kumpongeza atapongezwa. Ila sasa mwanamke nimeongelea misimamo yangu nimetukanwa weee, wengine wakapiga na ramli, wengine kuninunia teh teh teeeh!!

I know wanawake wenye misimamo kama hii na maisha yanasonga tena vizuri tu. Waniwache tu shosti na misimamo yangu.
 
Unapanga wewe kwan kaz yako ni nin ndio maana nmequote ule msemo wako wa Nitatafuta kwa Jasho na Utazaa kwa uchungu haina Exclusivity ya kitu chochote hyo sentensi
Ukianza kupanga hilo Jua hata mie ntapanga kwenye kutafuta kwa Jasho.
If its your body ur rules then its my money my Rules.
Its our money our rules.
Kuzaa kwa uchungu hata mmoja anazaliwa kwa uchungu man!

Alafu uzuri ni kuwa uwezo wako ndio utakao determine idadi ya watoto wa kuwa nao, raha sana.
 
Hivi ni kwanini mwanaume akielezea misimamo yake mtu hashangai, tena na kumpongeza atapongezwa. Ila sasa mwanamke nimeongelea misimamo yangu nimetukanwa weee, wengine wakapiga na ramli, wengine kuninunia teh teh teeeh!!

I know wanawake wenye misimamo kama hii na maisha yanasonga tena vizuri tu. Waniwache tu shosti na misimamo yangu.


mie nilishazoea !wala usitetereke! nimeona sana povu!pyeeeee
 
Its our money our rules.
Kuzaa kwa uchungu hata mmoja anazaliwa kwa uchungu man!

Alafu uzuri ni kuwa uwezo wako ndio utakao determine idadi ya watoto wa kuwa nao, raha sana.
Ha ha ha ha ha na hata kutafuta kwa Jasho hata laki moja ni kwa Jasho Woman.
Huwez kupanga idadi ya watoto niwatakao wether nina uwezo or not Kazi yako ulioletewa ni kuzaa thats all mengne hayakuhusu.
Your money your Rules and My money my rules, Mpe mama yako akushikie or whatever as long as pesa ni yako
But if its my money forget that, Usimuamin mwanamke hata kama anakutania "Mwana Fa"
 
Back
Top Bottom