Naisubiri hiyo avatar PmTo facts.
Hapo kwenye bold ndiyo ile kitu nzuri umesema sasa. simameni kwenye nafasi zenu. tunapoelekea heshima kwenu itapotea ....heshima ya mwanaume ni ku-PROVIDE (yaani labda uhurumiwe tena kwa kumweleza mwenzako sababu ya maana na isiwe mazoea) Jitumeni muweke heshima majumbani...nyie vipi? vipisi siyo?? hahahahhaha
Rafiki nina maswali ujue?Ikija kwenye kutimiza majukumu yangu, sihitaji msaidizi wala utetezi. Natekeleza wajibu wangu kama mume. Wife ana kazi yake lakini bado nampa pesa ya mambo ya nyumbani kana kwamba hana kipato.
Kazi yake kuangalia familia na kuzaaa, kama ilivyoandikwa kwenye Biblia. Mimi ni kula kwa jasho. Mengine mbwembwe tu!
Niko nasubiri ujueBaby come that way.
Naisubiri hiyo avatar Pm
Teh teh..Ngoja na mi nijiridhishe mkuuNilikwambia huyu dada roho stock!
Picha tayari nimeshaweka kwa screen shot wewe endelea kusubiria PM.
Rafiki nina maswali ujue?
Mkuu hivi bado unafanyaga ile biashara yako ya vifuniko vya asali?!Teh teh..Ngoja na mi nijiridhishe mkuu

espy ni wewe au cover yako?We mwenyewe unatisha, vizuri kama umetishika.
Teh teh...Mambo vipi braza..Kitambo sana aisee..Kwema??Mkuu hivi bado unafanyaga ile biashara yako ya vifuniko vya asali?!![]()
![]()