Msimamo wa wahisani juu ya Zanzibar leo

Msimamo wa wahisani juu ya Zanzibar leo

Lini walishawahi kufanya hivyo?? Hata burundi bado wanapeleka pesa
Chifu, ni ukweli mchungu kwetu kwamba kama tunategemea nchi za Kaskazini/Magharibi zitusaidie katika kukabiliana na wakoloni weusi, imekula kwetu. Nakubaliana nawe kwamba, hii ngoma ni yetu yenyewe, wala tusitarajie kusaidiwa na 'wazungu'.
 
Chifu, ni ukweli mchungu kwetu kwamba kama tunategemea nchi za Kaskazini/Magharibi zitusaidie katika kukabiliana na wakoloni weusi, imekula kwetu. Nakubaliana nawe kwamba, hii ngoma ni yetu yenyewe, wala tusitarajie kusaidiwa na 'wazungu'.
Mkuu nashukuru sana

Tumeichukulia kauli ya wazungu kama ujumbe toka kwa Mola! These are the very same people who trash talk Mugabe, Museven,Nkuruzinza, Bongo Family, Toure Family, Kabila Family, Dos Santos Clan etc... and guess what! They funds lots of those governments activities that "legitimatize" those very same regimes that they "clown and attack"

Kwangu mimi hili tamko ni dhihaka tu... I am sorry
 
Mbona marekani sisi hatuendi kuwa watazamaji wa uchaguzi wao? Mbona hata aibu hawaoni!? Nini lakini ,sisi mbona hatujasema chochote kuhusu wanavyomlushia mabango mgombea wao wa urais Donald Trump kiboko yao. Go Zanzibar Go shein Go Magufuli Go beloved Tanzania
Endelea kujifariji na ushindi wa kishindo chini mitutu ya vifaru na tume ya uchaguzi iliyokuwa inasikika sauti tu
 
Wasidanganye watu hapa tangu lini hawa watu wakawa na imani na nchi zenye waislam? Zanzibar ina 94%au zaidi ya waislam. Sasa nyie mnaona ujanja eti hizo nchi zinataka kutupangia siasa zetu za ndani ndio ccm itakomolewa kwa kifupi tutakomolewa sote Tumeona Iraq,Iran,Libya,na nyengine. Swali nnajiuliza why iwe wana interest na zanzibar? Hatuna mafuta. Ila nnahisi target yao ni Tanzania nchi hizi za west hazitompenda rais yoyote anaewaondolea maslahi yao. Na ukweli alipokuwa kikwete wakijifaidia kwa mali asili zetu. Na kama vile unavyojua hawa watu hupenda kutumia njia yao ya divide and concord wameona njia nyepesi ni ya kupitia zanzibar tayari kuna waunguja na wapemba wamegawanyika Na ndio maana kelele zote hizo.tuwe makini na hawa watu ndugu zangu Mkumbuke Africa nzima tuko dunia ya tatu kwa ajili ya hawa watu. Nendeni mitandaoni tafuteni information muelewe games zao tuamke ndugu zangu.kuna kina umar johnson na wengine wanaoamsha watu. Hamna wa kuyatatua matatizo ya nchi zetu za ki Africa ila ni sisi wenyewe.
Hoja mufilisi ili kuhalalisha ubakaji wa democracy, zishachokwa
 
Mbona marekani sisi hatuendi kuwa watazamaji wa uchaguzi wao? Mbona hata aibu hawaoni!? Nini lakini ,sisi mbona hatujasema chochote kuhusu wanavyomlushia mabango mgombea wao wa urais Donald Trump kiboko yao. Go Zanzibar Go shein Go Magufuli Go beloved Tanzania
Wabongo kwa kujitoa ufahamu hamjambo
 
Hii nchi lazma tusonge mbele, hawawezi kuturudisha kwenye ukoloni, kama hawakuona katiba ilivyovunjwa hapo awali na maalim seif watakua wamejiunga na malofa wa ukawa
Alichofanya Maalimu kina tofauti gani na alichofanya Makamba? Kwa nchi zilizoendelea hawasubiri Jecha atangaze, fuatilia uchaguzi wa mchujo USA utaona hilo.
 
Hoja mufilisi ili kuhalalisha ubakaji wa democracy, zishachokwa
Hivyo kwa fikira zako hao wazungu unafikiria watatatua kitu gani na hizo demand Zao? Wamemuekea sanction mugabe na bado Yuko madarakani. Wewe ubebakwa akili kwa kufurahia wazungu na kuwaona ni mungu na kudhani wanakupendeni sana. Kawaulize wa Libya na wao walifurahi wakati Gaddafi akiuliwa. Nnarudia tena tatizo la Africa yatatatuliwa na cc wa Africa wenyewe. Ww mwenye mawazo ya kitumwa kwanza nenda kwenye mtandao ukaangalie watu hawa, Dr Yosef Ben Jochannan,Khalid Mohamed,Umar Johnson. Kajielimishe kidogo usiwe kila anosema mzungu kwako yes sir. Aibu hiyo
 
Lini walishawahi kufanya hivyo?? Hata burundi bado wanapeleka pesa
Daaa wewe jamaa unatia aibu sana na hujui dunia inaznguka vipi kama hujui hata burundi wanaishi vipi kiuchumi,mjiandae kuwekewa vikwazo
 
Ndo hao hao mabalozi waliohidi kumsaidia lowassa sio?
Maccm walio wengi ni walala hoi kila kitu wanahitaji kukipata serikalini kama vile matibabu na huduma nyingine hivyo wazungu wakiweka vikwazo ndio mmekwisha
 
Chifu, ni ukweli mchungu kwetu kwamba kama tunategemea nchi za Kaskazini/Magharibi zitusaidie katika kukabiliana na wakoloni weusi, imekula kwetu. Nakubaliana nawe kwamba, hii ngoma ni yetu yenyewe, wala tusitarajie kusaidiwa na 'wazungu'.
Bila wafadhili mtaaza kupukutika kama nzi kwa kukosa huduma muhimu kama vile madawa na wataalamu
 
Mkuu nashukuru sana

Tumeichukulia kauli ya wazungu kama ujumbe toka kwa Mola! These are the very same people who trash talk Mugabe, Museven,Nkuruzinza, Bongo Family, Toure Family, Kabila Family, Dos Santos Clan etc... and guess what! They funds lots of those governments activities that "legitimatize" those very same regimes that they "clown and attack"

Kwangu mimi hili tamko ni dhihaka tu... I am sorry
Huko kuongea kizungu inaonyesha kuwa bado wewe ni mtumwa wa wazungu tu,huna ujanja mbele ya wazungu wewe
 
Endelea kujifariji na ushindi wa kishindo chini mitutu ya vifaru na tume ya uchaguzi iliyokuwa inasikika sauti tu
Jamaa alikuwa anaongea kutoka pangoni,alafu wanaita eti uchaguzi huru
 
Firigisi...hao mabalozi kabla ya matamko yao wanakuwa wamefanya analysis ya kutosha! Wana kila doc wanayoitaka kuweza kuichambua kabla kusema lolote! Katiba zote wanazo hata rasimu ya warioba wanayo!
Hizo nchi wahisani Ni malofa kweli, wao democracy Ni chama pinzani kushinda, akishinda chama tawala wanazungusha midomo yao
 
Kwa kumbukumbu zangu zisizo rasmi siku 25 kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka jana utawala wa kikwete ulipatiwa mamilioni ya dola kwa ajili ya umeme vijijini lakini mara tu utawala huu mpya kuingia madarakani haukukaa hata mwezi mmoja watoa msaada wakauzuia msaada huo kwa maelezo ya kutoridhika na uchaguzi wa zanzibar na sasa kwa tamko hili tukae mkao wa kukaza mikanda huenda vikwazo zaidi vya kiuchumi vikatuhusu

na hivi mvua zilivyogoma kuivisha mazao mashambani mwaka mbona utakuwa mgumu kwa sisi walalahoi mungu tuokoe na balaa hili
Usifikirie misaada.Ndio maana Mzee Ngosha kasema hapa ni kazi tu.
Asie fanya kazi Na asile. Hivi tusaidiweeeee mpaka lini?
 
Hakuna sapoti hapo kutoka jumuia ya kimataifa kama alivokua akiamini Maalim! Hiyo statement haina mashiko kwa wakati huu wala haimsaidii kutangazwa! Ni reconciliation process tu kama ilivokua mwanzo! Kwa kifupi hakuna maslahi yao hapa au chochote chenye interest nao! Hayo mafuta ni porojo tu! Ukiona wazungu wanampa sapoti mtu jua kuna maslahi yao au wanataka kuharibu tu
 
Back
Top Bottom