Msimamo wa wahisani juu ya Zanzibar leo

Msimamo wa wahisani juu ya Zanzibar leo

..... Mtu anaamka na kusema uchaguzi umekwisha maisha yaendelee...

Kuna haja ya kumfikiria mtu wa aina hii
 
Hii nchi lazma tusonge mbele, hawawezi kuturudisha kwenye ukoloni, kama hawakuona katiba ilivyovunjwa hapo awali na maalim seif watakua wamejiunga na malofa wa ukawa
 
Hakuna haja kuendeleza majadiliako kwa watu waliosusa majadiliano kwani pesa zitaendelea kutumika tu,uchaguzi umeisha la msingi tupige hatua mbele za kimaendeleo. Matamko ya kichochezi kila siku tumeyachoka wakayatoe kwa Trump
Hahaha!!! Maendeleo! Yapi hayo?
 
Hata Waingereza wanafahamu, sio yote yanayoendelea ndani ya Scotland unaweza kumlaumu Waziri Mkuu wa Uingereza kwa sababu Scotland ndani ya UK kwa kiwango kikubwa ni sawa na Zanzibar ndani ya Tanzania.
Chifu, yaani unafananisha Zanzibar na Scotland?! Muungano wa UK na Muungano wa Tanzania?
Hata kama ni unazi, hii imepitiliza kiwango cha kuelekea insanity.
Katika muungano wa UK, nchi wanachama zinajulikana na zina 100% sovereignity. Zina siti na nafasi za uwakilishi Umoja wa Mataifa na zina mabalozi katika nchi za nje n.k. Sasa utalinganishaje muungano huo na muungano wa Tanzania? Zanzibar nje ya mipaka ya Tazania, inachukuliwa kama Tanzania. Hivi kuna mabalozi wa Zanzibar nchi za nje? Na katika muungano wa Tanzania, nani wa wanachama wanaounda muungano? Je, wanachama hao wana 100% sovereignity? Wana nafasi katika Umoja wa Mataifa? Wana mabalozi? N.k.
 
Watuwekee vikwazo vya kiuchumi na wawazuie viongozi wote wa ngazi za juu kwenda ulaya
 
Tunatia aibu sana, ccm wanadhani dhamana ya nchi hii ni mabavu wanajidanganya
 
Mbona wamesema mkuu,wanataka wakae meza moja ya mazungumzo wafanye maridhiano.
Ndugu, HUWEZI kukaa katika meza ya mazungumzo na Mtu ULIYEMJERUHI. Ni sawasawa na Kibaka aje akuibie nyumbani kwako. Kesho yake aje akiri kuwa: "Nilikuibia a, b, c,,d,nk". "Naomba tuzungumze namna NITAKAVYOKURUDISHIA baadhi ya vitu vyako. Tupange pia TUTAKAVYOGAWANA mali yako iliyobaki." Kutakuwa na MWAFAKA hapo?
 
ok,asante
Chifu, yaani unafananisha Zanzibar na Scotland?! Muungano wa UK na Muungano wa Tanzania?
Hata kama ni unazi, hii imepitiliza kiwango cha kuelekea insanity.
Katika muungano wa UK, nchi wanachama zinajulikana na zina 100% sovereignity. Zina siti na nafasi za uwakilishi Umoja wa Mataifa na zina mabalozi katika nchi za nje n.k. Sasa utalinganishaje muungano huo na muungano wa Tanzania? Zanzibar nje ya mipaka ya Tazania, inachukuliwa kama Tanzania. Hivi kuna mabalozi wa Zanzibar nchi za nje? Na katika muungano wa Tanzania, nani wa wanachama wanaounda muungano? Je, wanachama hao wana 100% sovereignity? Wana nafasi katika Umoja wa Mataifa? Wana mabalozi? N.k.
asante kwa hizi nondo,mkuu
 
Siasa nyingi zaafrica ndio zilivyo hakuna demokrasia ndiomana mgombea uraisi wamarekani ametamka angeambiwa atoe maoni angeshauli Africa itawaliwe myaka mia mbere kwakua atujui demokrasia uchaguzi. Uouo upande mwingine halali. Upande. Mwingine. Batili. Tunaweza. Tukaingia. Ktk rekodi.
 
ni punguani wahedi tu ndiye anaweza ku-undermine consequences za hawa Wazungu kuweka huu msimamo.

kuliko kukosa madaraka, CCM imechagua ku-commit suicide ambayo athari yake ni kwa sisi wote..
 
Wewe ni Jecha mwenyewe au ni mke wake?
Uwezo wako wa kujibu hoja ndio umeishia hapo, pengine ndio maana mnawaunga mkono wazungu hata wanapoongea upuuzi na kudhani wapo sahihi kuliko katiba ya nchi yenu. Utumwa haujawaisha vichwani mwenu.
 
Ukiangalia matukio ya tz yanaweza kukuletea maswali kama hiki NI kisiwa cha amani ya kweli au amani ya uoga !!!!!.....
 
Wasidanganye watu hapa tangu lini hawa watu wakawa na imani na nchi zenye waislam? Zanzibar ina 94%au zaidi ya waislam. Sasa nyie mnaona ujanja eti hizo nchi zinataka kutupangia siasa zetu za ndani ndio ccm itakomolewa kwa kifupi tutakomolewa sote Tumeona Iraq,Iran,Libya,na nyengine. Swali nnajiuliza why iwe wana interest na zanzibar? Hatuna mafuta. Ila nnahisi target yao ni Tanzania nchi hizi za west hazitompenda rais yoyote anaewaondolea maslahi yao. Na ukweli alipokuwa kikwete wakijifaidia kwa mali asili zetu. Na kama vile unavyojua hawa watu hupenda kutumia njia yao ya divide and concord wameona njia nyepesi ni ya kupitia zanzibar tayari kuna waunguja na wapemba wamegawanyika Na ndio maana kelele zote hizo.tuwe makini na hawa watu ndugu zangu Mkumbuke Africa nzima tuko dunia ya tatu kwa ajili ya hawa watu. Nendeni mitandaoni tafuteni information muelewe games zao tuamke ndugu zangu.kuna kina umar johnson na wengine wanaoamsha watu. Hamna wa kuyatatua matatizo ya nchi zetu za ki Africa ila ni sisi wenyewe.
 
Back
Top Bottom