Msimamo wa wahisani juu ya Zanzibar leo

Msimamo wa wahisani juu ya Zanzibar leo

Hii ingetokea wakati wa JK ingekuwa poa sana. Maana JK asingeweza kukubali kuweka safari zake at stake kwa ajili ya Shein!!
 
nitasubiri tamko lao baada ya uchaguzi wa marekani eti wahisani wakati fedha zinazoibwa afrika ndizo zinaendesha uchumi wao mbona hawajawahi kutoa tamko kuwa malizote na pesa zilizoko kwenye mabenki yao zirudishwe ili zisaidie uchumi wa nchi zetu


Hujamsikizia donald trump.amesema hayo hayo mkuu ata deal na waafrica wanaoiba na kuficha pesa zao.marekani hata hivo ni vigumu kuficha esa chafu marekani
 
Kwa kweli hatuna mbaya ni kunyimwa msaada na mbaya zaidi kutuwekea vikwazo magufuli chonde chonde.kuna kila dalili utaweza zidiwa na mkwere kwa performance
 
Statement on Election Re-Run in Zanzibar
March 21, 2016
The High Commissioners and Ambassadors to Tanzania of Belgium, Canada, Denmark, the European Union, Finland, France, Germany, Ireland, Italy, the Netherlands, Norway, Spain, Sweden, Switzerland, the United Kingdom and the United States, today issued the following statement regarding the election re-run which took place in Zanzibar on March 20th, 2016:

“We regret the Zanzibar Electoral Commission’s decision to hold a re-run of the 25 October 2015 election, without a mutually acceptable and negotiated solution to the current political impasse.

“In order to be credible, electoral processes must be inclusive and truly representative of the will of the people.

“We reiterate our call on the Government of Tanzania to exercise leadership in Zanzibar, and to pursue a negotiated solution between parties, with a view to maintaining peace and unity in the United Republic of Tanzania.

“We commend once again the population of Zanzibar for having exercised calm and restraint throughout this process, and call on all parties and their supporters to re-start the national reconciliation process to find an inclusive, sustainable and peaceful resolution.”

Source Press Releases 2016 | Dar Es Salaam, Tanzania - Embassy of the United States

My take: Hawa mabalozi wanaijua katiba ya Zanzibar and ya Muungano kweli?
Wewe unaijua hiyo katiba? Naona unaendekeza ujinga kwa kuwa lengo lenu limefanikiwa. Labda nikuulize kwa katiba ya Zanzibar inavyotamka ukomo wa Shein kama Rais uliisha lini? Na je ili uchaguzi urudiwe ni mambo yepi yakitokea yanalazimisha uchaguzi kurudiwa?
 
Wazungu wazungu wazungu!
Si wapendi, si wafagiliii!!!
Kama vp watimke tu!!!

Huwapendi kwa ajili ya tamko lao kuhusu uchaguzi wa marudio Zanzibar, au kwa mambo mengineyo?

Katika hili tamko wako sahihi 200%, kama unawachukia kwa hili basi utakuwa kipofu, umesimuliwa tu bila kuona.

Kama JF tukimshutumu Kivuitu alipoiingiza Kenya kwenye mgogoro wa uchaguzi wa Kenya, na pia kumshutumu Nkurunziza wa Burundi, tutakuwa na haki gani ya kuwaponda wazungu?

Vv
 
Kaa utulie usome taratibu utaelewa..next step ni kwamba wanataka pande mbili kinzani zikae kwenye meza ya mazungumzo..
siwaamini sana hao

wangekua na mashiko uchaguzi usingerudiwa
 
Hujaelewa ni'i? Mbona wameeleza wazi kuwa wanataka mazungumzo yafanyike. Kwa maana nyingine huo uchaguzi wa Jecha siyo uchaguzi. Mazungumzo yafanyike kati ya CUF na CCM namna ya kuiongoza Zanzibar, na serikali ya JMT itimize wajibu wake katika kuyasimamia. Naona wapo sahihi sana kwa maana Zanzibar kimataifa haifahamiki, wao wanaongea na Tanzania.
Mazungumzo baada ya uchaguzi?? wangekua serious uchaguzi usingefanyika
 
Mbona wamesema mkuu,wanataka wakae meza moja ya mazungumzo wafanye maridhiano.
Tunarudi kulekule.... merry go round and round

hakuna democracy zanzibar na wao wanajikomba tu, hivi unaamini kabisa kwamba kuna kitakachobadilika in zenji? ccm wameshasema kamwe hawatoki madarakani hata iweje

wangekua serious hao donors wangeprevent hiyo election ya pili
 
Wakiamua kukata optical fibre yao tu Tanzania sijui hiyo JF uta access vipi na bank zitafanya kazi vipi bila ya kusahau TRA makusanyo yao. Hatuna jeuri hiyoo. Tanzania kama ingelikuwa binadamu basi angelikuwa infant hata nursery bado!

Wewe hujui kitu Banks zinafanya kazi kwa optical ya wazungu. Ha ha ha ha
 
Wewe hujui kitu Banks zinafanya kazi kwa optical ya wazungu. Ha ha ha ha
Na sijaiona optical ya Tanzania pia. Ushawahi kuiona TT report? Sijaiona TT inayofika Samora ikatiwa OK. Ni lazima ivuke Pacific/Atlantic! Usitudanganye ukatwambia kuna operating system ilotengenezwa Tanzania, hakuna asiyejuwa kuwa hatuna utaalamu huo, ni domo kubwa tu hatuna jengine zaidi ya hilo.
 
Na sijaiona optical ya Tanzania pia. Ushawahi kuiona TT report? Sijaiona TT inayofika Samora ikatiwa OK. Ni lazima ivuke Pacific/Atlantic! Usitudanganye ukatwambia kuna operating system ilotengenezwa Tanzania, hakuna asiyejuwa kuwa hatuna utaalamu huo, ni domo kubwa tu hatuna jengine zaidi ya hilo.

Ha ha ha wonders never cease.
 
Back
Top Bottom