Mbona Burundi hawajamtoa Nkurunzinza? Potelea mbaliMkiitaji mikopo mnawakimbilia, wenzenu hanana rafiki wa kudumu wala haduwi wa kudumu ni makavu live. Wadhamini wa uchaguzi ni wao kwa nini wasiseme? nchi jirani kama Burundi wakiboronga mnakua wa kwanza kukosoa. Yamewakutata. je kuna tofauti gani kati ya Zimbabwe na Zenji?