kibanga mkolon
Member
- Mar 1, 2016
- 49
- 13
Mtu wa kwanza kunyongwa ni jecha
Tangazo halina mashiko... liko vague na halisemi kinagaubaga wanataka next steps zipi
mbona hueleweki?wewe kojoa ukalale.Wasituzingue kabisa. Na wasepe
Hapo Shein alipo hata nafsi inamsuta utagombeaga uchaguzi pekee yako halafu unajipongeza kwa ushindi wa kishindo hii kujitoa ufahamu sasa imezidi hili tamko litakuwa limeharibu hali ya hewa kabisa kwa wenzetu.
Wasepe zako. Mbona yao yanawashinda afu wanajifanya kufuatilia yetu. Mi Hao wanzungu nishawapuuzaHujaelewa ni'i? Mbona wameeleza wazi kuwa wanataka mazungumzo yafanyike. Kwa maana nyingine huo uchaguzi wa Jecha siyo uchaguzi. Mazungumzo yafanyike kati ya CUF na CCM namna ya kuiongoza Zanzibar, na serikali ya JMT itimize wajibu wake katika kuyasimamia. Naona wapo sahihi sana kwa maana Zanzibar kimataifa haifahamiki, wao wanaongea na Tanzania.
Wakiwekea vikwazo JMT Zanzibar inaendelea kupeta maana na yenyewe ni nchi. Vinginevyo vikwazo viwe kwa nchi zote mbili. Tanzania - ZanzibarAliepeleka vifaru na silaha nzito nzito kuwatisha watu ilikuwa Zanzibar??
Tanzania ni nchi huru watuache wala wasithubutu kutuingilia kama wamekaa kimya Burundi au Uganda kwetu watukome kabisa
Umenielewa Sana tu. Sema wewe ni kiburimbona hueleweki?wewe kojoa ukalale.
Wewe ukatazame uchaguzi wa USA...??? Tanzania hii??? Kwanza nauli yenyewe ya kwenda huko utawaomba wao... HahahahaMbona marekani sisi hatuendi kuwa watazamaji wa uchaguzi wao? Mbona hata aibu hawaoni!? Nini lakini ,sisi mbona hatujasema chochote kuhusu wanavyomlushia mabango mgombea wao wa urais Donald Trump kiboko yao. Go Zanzibar Go shein Go Magufuli Go beloved Tanzania
nakuona unaweweseka tuuUmenielewa Sana tu. Sema wewe ni kiburi
Wewe umeonaje aiseee. Duh hongeranakuona unaweweseka tuu
Wakiamua kukata optical fibre yao tu Tanzania sijui hiyo JF uta access vipi na bank zitafanya kazi vipi bila ya kusahau TRA makusanyo yao. Hatuna jeuri hiyoo. Tanzania kama ingelikuwa binadamu basi angelikuwa infant hata nursery bado!Hii nchi lazma tusonge mbele, hawawezi kuturudisha kwenye ukoloni, kama hawakuona katiba ilivyovunjwa hapo awali na maalim seif watakua wamejiunga na malofa wa ukawa
Unaonekana wewe ni muumini wa dhulma na udikteta.Wazungu wazungu wazungu!
Si wapendi, si wafagiliii!!!
Kama vp watimke tu!!!
Kaa utulie usome taratibu utaelewa..next step ni kwamba wanataka pande mbili kinzani zikae kwenye meza ya mazungumzo..Tangazo halina mashiko... liko vague na halisemi kinagaubaga wanataka next steps zipi