Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,250
- 98,243
Potelea mbali kikubwa ni haki kutendeka tukwa maana hiyo vikwazo vitatuhusu nchi nzima bara na visiwani. ikiwa ni njia ya kulazimisha mazungumzo
Potelea mbali kikubwa ni haki kutendeka tukwa maana hiyo vikwazo vitatuhusu nchi nzima bara na visiwani. ikiwa ni njia ya kulazimisha mazungumzo
Hata kama huna macho ya kuona unashindwa kutumia nukta nundu?hapo ni vikwazo vya kiuchumi tuTangazo halina mashiko... liko vague na halisemi kinagaubaga wanataka next steps zipi
Makamba apelekwe iccJanuary Makamba pia mali zake zipigwe tanchi!
Mkuu hao ndio wale viwavi wa lumumba kwao kila kitu kinachofanywa na ccm wanashangilia kama mazuzuafu hapo hapo unajiita thegame! acha unafiki ww
Wacha tule banWhat else will they dare say? Ngoma ishaelekea kibra. ...hakuna namna
Hapa hakuna cha mswalie mtume ni kula ban ya kiuchumiHakuna haja kuendeleza majadiliako kwa watu waliosusa majadiliano kwani pesa zitaendelea kutumika tu,uchaguzi umeisha la msingi tupige hatua mbele za kimaendeleo. Matamko ya kichochezi kila siku tumeyachoka wakayatoe kwa Trump
Ningefurahi kama huyo sheeni angeburuzwa kwa bi bensoudaKwa kumbukumbu zangu zisizo rasmi siku 25 kabla ya uchaguzi mkuu wa mwaka jana utawala wa kikwete ulipatiwa mamilioni ya dola kwa ajili ya umeme vijijini lakini mara tu utawala huu mpya kuingia madarakani haukukaa hata mwezi mmoja watoa msaada wakauzuia msaada huo kwa maelezo ya kutoridhika na uchaguzi wa zanzibar na sasa kwa tamko hili tukae mkao wa kukaza mikanda huenda vikwazo zaidi vya kiuchumi vikatuhusu
na hivi mvua zilivyogoma kuivisha mazao mashambani mwaka mbona utakuwa mgumu kwa sisi walalahoi mungu tuokoe na balaa hili
You have nothing to loose but women, children and the needy whi depend on these countries for medicine, education, technology and development aid are touched because they are the one to be affected. Wewe kula kuku na bata lakini kipindupindu, TB, Tetanus ikijaa nchini usilalamike. Uwezo wetu ni kununua washa washa kwa wingi siyo dawa za watoto.Wazungu wazungu wazungu!
Si wapendi, si wafagiliii!!!
Kama vp watimke tu!!!
mkuu kuna jipu gani katika hizo sehemu mbili?Kama hao Waingereza wanapata wapi ujasiri wa kupiga domo wakati wana majibu ya muda mrefu kama Gibraltar, the Foklands?
jibu zuri lililo kwenda chuo!You have nothing to loose but women, children and the needy whi depend on these countries for medicine, education, technology and development aid are touched because they are the one to be affected. Wewe kula kuku na bata lakini kipindupindu, TB, Tetanus ikijaa nchini usilalamike. Uwezo wetu ni kununua washa washa kwa wingi siyo dawa za watoto.
Umeandika lugha gani?maoni yako nini kuna chuo kifunza wapi mataifa kusimamia uchaguzi?
Kwahiyo unaunga mkono hoja au lah.??Wanaijua sana. Wanatafuta mlango wa kumwingia Magufuli wanakwama kwa sababu hajaonyesha kiu ya misaada yao.
Hapo mpaka usikie china, korea na vietnam wamepiga kelele ndo ujue kimeumana.
Jamaa walishanyima pesa tangu wakati wa escrow, uchaguzi wa october umefanyika kimtego nao sasa wanatoa matamko kama ya jecha.
Wamezoea kuamrisha nchi za watu wengine hadi kuziingiza kwenye machafuko, hilo haliwezekani kwa Tanzania. Sheria, taratibu na kanuni lazima zifuatwe. Kama kweli wanapenda haki na demokrasia basi wangekuwa mstari wa mbele kupinga kitendo cha Maalimu Seif kujitangangazia matokeo mwaka jana. Katiba ya nchi wanaijua vinzuri sana, sheria za uchaguzi wanazijua vinzuri sana sasa hiyo reconciliation wanayoitaka nje ya box la kura ni nini kama siyo kutaka kutengeneza mianya ya wao kuingiza mikono yao? Kwa sasa wamechelewa sana, wakitaka wakate hata hiyo misaada yao. Hatuwezi kuwa na misaada inayotutaka kupindisha katiba, sheria na kanuni.
Hahaha baba wa taifa anaijuwa vizuri IMF ndio iliomfanya awache nchi bila kupendaHivi ni akina nani wale walitishia kwamba wamekwenda kufungua kesi ICC sijui ICJ na picha zikatumwa... ha ha ha haaa. ...wamesahau kwamba Baba wa Taifa alishatukomaza tunaweza kumaliza wenyewe.. kwani huo muafaka wa awali, waliuleta wao? Kwendeni...
Wavivu wa kufikiri hawawezi kukuelewa,upo vizuri mkuu.You have nothing to loose but women, children and the needy whi depend on these countries for medicine, education, technology and development aid are touched because they are the one to be affected. Wewe kula kuku na bata lakini kipindupindu, TB, Tetanus ikijaa nchini usilalamike. Uwezo wetu ni kununua washa washa kwa wingi siyo dawa za watoto.