Msimamo wa Senegal huko AFCON ni kama wa CHADEMA

Msimamo wa Senegal huko AFCON ni kama wa CHADEMA

Na matokeo yakawa mazuri, yule mmatumbi mwenzetu anaendeleza kuibeba morocco! Ngoja tuendelee kuangalia mtanange huu hadi mwisho
 
Senegal wamegomea kubebwa kwa Moroco wakaamua kutoa team uwanjani.

Iwapo wangekubali kuendelea ndio ilikuwa imetoka hiyo. Chadema msimamo uwe huo huo hakuna kushiriki chaguzi za kuhuni hadi haki ifuatwe.
Acha uzwazwa
Sasa mbona wasenegali hawajachoma uwanja, ila wamerudi kilingeni kupambana na wameshinda,
Chadomo wakaamua kukinukisha, wakapewa dozi ya klorokwini ambayo hawatakaa wakinukishe tena milelel
 
Back
Top Bottom