Msimamo: Napinga TBC kurusha Live Mkutano wa uzinduzi wa kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA

Status
Not open for further replies.
Kwa miaka mingi sana tangu kuondolewa kwa Tido Mhando kwenye uongozi wa TBC , Channel hii imejipambanua bila kificho wala uoga wowote kama channel ya ccm , kwa kuonyesha kila kinachofanywa na ccm hata mambo ya hovyo na yasiyo na tija kwa Taifa hili , imewapuuza wapinzani katika kipindi chote hicho huku ikiwanyima hata nafasi ya kukohoa tu kwenye mic zao , Watangazaji wake wamekuwa makada halisi wa ccm wenye kusifia hata ukandamizaji , hoja zote zenye tija hazijawahi kupewa nafasi kwenye TV hii .

Kwa tabia hii TBC imepoteza kabisa watazamaji katika nchi hii baada ya wananchi kwa umoja wao kuidharau moja kwa moja , nini kimetokea leo kwa TBC kutangaza mkutano wa Chadema , Je TBC inatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Chadema baada ya wananchi kuipuuza ?

Napinga jambo hili na sitakubali Chadema itumike kama ngazi , waendelee kuifagilia ccm sisi tutapita nyumba kwa nyumba .

Naomba kuwasilisha .
Bwashee punguza jazba,si Kila Jambo lipo km unavyoliona.
 
Mkuu mbona simple Sana. Wafukuzeni. Hapa unamlilia nani wakati wewe na TBC wote mupo hapo uwanjani.
Juzi hapa mulikua munalia TBC kua live kwenye zoezi la kuchukua na kurejesha fomu kwa mhe rais Magufuli kua TBC wanatakiwa kua live pia kwa lissu.
 
Shwain wewe ,

Huoni magazeti , blogs na redio zenye affiliation na upinzani zinavyokula Ban.

Kwa akili zako za kuvukia Barabara unadhani upinzani ikiwa na TV station ndio haiwezi kufungiwa!


Halafu ukute wewe ni baba mtu mzima bichwa kubwa la kufugia nywele badala ya kufugia Ubongo.


Punda wewe.
Ooh boy!

Umejiunga lini JF son?
 
Kwa miaka mingi sana tangu kuondolewa kwa Tido Mhando kwenye uongozi wa TBC , Channel hii imejipambanua bila kificho wala uoga wowote kama channel ya ccm , kwa kuonyesha kila kinachofanywa na ccm hata mambo ya hovyo na yasiyo na tija kwa Taifa hili , imewapuuza wapinzani katika kipindi chote hicho huku ikiwanyima hata nafasi ya kukohoa tu kwenye mic zao , Watangazaji wake wamekuwa makada halisi wa ccm wenye kusifia hata ukandamizaji , hoja zote zenye tija hazijawahi kupewa nafasi kwenye TV hii .

Kwa tabia hii TBC imepoteza kabisa watazamaji katika nchi hii baada ya wananchi kwa umoja wao kuidharau moja kwa moja , nini kimetokea leo kwa TBC kutangaza mkutano wa Chadema , Je TBC inatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Chadema baada ya wananchi kuipuuza ?

Napinga jambo hili na sitakubali Chadema itumike kama ngazi , waendelee kuifagilia ccm sisi tutapita nyumba kwa nyumba .

Naomba kuwasilisha .
Naona unajaribu kuminya uhuru wa vyombo vya habari
 
Kwa miaka mingi sana tangu kuondolewa kwa Tido Mhando kwenye uongozi wa TBC , Channel hii imejipambanua bila kificho wala uoga wowote kama channel ya ccm , kwa kuonyesha kila kinachofanywa na ccm hata mambo ya hovyo na yasiyo na tija kwa Taifa hili , imewapuuza wapinzani katika kipindi chote hicho huku ikiwanyima hata nafasi ya kukohoa tu kwenye mic zao , Watangazaji wake wamekuwa makada halisi wa ccm wenye kusifia hata ukandamizaji , hoja zote zenye tija hazijawahi kupewa nafasi kwenye TV hii .

Kwa tabia hii TBC imepoteza kabisa watazamaji katika nchi hii baada ya wananchi kwa umoja wao kuidharau moja kwa moja , nini kimetokea leo kwa TBC kutangaza mkutano wa Chadema , Je TBC inatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Chadema baada ya wananchi kuipuuza ?

Napinga jambo hili na sitakubali Chadema itumike kama ngazi , waendelee kuifagilia ccm sisi tutapita nyumba kwa nyumba .

Naomba kuwasilisha .
Mods mbona huu uzi hamjauunganisha na ile mingine. Hii ina tofauti gani na ile mingine. Kwasabb content ni Ile ile TBC kurusha live matangazo ya uzinduzi wa Chadema.
 
Nilivuta bangi nikaulizwa kirefu cha TBC ni nini nikaropoka "Toto Baya Choyo" muuliza swali akatazama chini akitafakari jambo kwa dakika 1,akatikisa kichwa kama anakubali jambo,kisha akaondoka bila kutamka neno
 
Naona TBC Wapo Mbashara!!!


Uchaguzi Mkuu 2020 Dar Es Salaam..


Hawa TBC Wamepatwa na nini...?? HAHAHA
 
Kwa miaka mingi sana tangu kuondolewa kwa Tido Mhando kwenye uongozi wa TBC , Channel hii imejipambanua bila kificho wala uoga wowote kama channel ya ccm , kwa kuonyesha kila kinachofanywa na ccm hata mambo ya hovyo na yasiyo na tija kwa Taifa hili , imewapuuza wapinzani katika kipindi chote hicho huku ikiwanyima hata nafasi ya kukohoa tu kwenye mic zao , Watangazaji wake wamekuwa makada halisi wa ccm wenye kusifia hata ukandamizaji , hoja zote zenye tija hazijawahi kupewa nafasi kwenye TV hii .

Kwa tabia hii TBC imepoteza kabisa watazamaji katika nchi hii baada ya wananchi kwa umoja wao kuidharau moja kwa moja , nini kimetokea leo kwa TBC kutangaza mkutano wa Chadema , Je TBC inatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Chadema baada ya wananchi kuipuuza ?

Napinga jambo hili na sitakubali Chadema itumike kama ngazi , waendelee kuifagilia ccm sisi tutapita nyumba kwa nyumba .

Naomba kuwasilisha .
Mbona watu wachache hivi? Ni mgombea wa udiwani anazindua kampeni?
 
Makamanda wana akili mbovu kama huyu mleta mada. Sasa hapo ndio amewaza nje ya box.

Ebu chukulia huo kama ni ushindi baada ya kuisema sana TBC.
 
Tbc siyo kwa ajili ya wanasiasa tu, hata wasio wanasiasa wanalipa kodi na wana haki ya kuwasikiliza wagombea wote ili wafanye maamuzi sahihi.

Cha kufanya wewe pinga nyumbani kwako kutazama TBC, usiwaze kichadema chadema muda wote.

Hata mimi binafsi nasubili kwa hamu nifuatilie mkutano huo kupitia TBC.

Wenzenu ccm wana Channel ten nyinyi sijui mtaamka lini kujuwa umuhimu wa kumiliki tv station yenu, yani mnazidiwa maarifa hatanna wahuni tu kama kina Majizo?
Hao mafalawenu atbc waende huko wakanyese KUHAMIA DODOMA, hatuwataki huku wanatu;eta uchuro kilihokuwa kinawazuia kutambua kwa wao ni chombo ch tif ni nini na leo kimeeda wapi ??
 
Kwa miaka mingi sana tangu kuondolewa kwa Tido Mhando kwenye uongozi wa TBC , Channel hii imejipambanua bila kificho wala uoga wowote kama channel ya ccm , kwa kuonyesha kila kinachofanywa na ccm hata mambo ya hovyo na yasiyo na tija kwa Taifa hili , imewapuuza wapinzani katika kipindi chote hicho huku ikiwanyima hata nafasi ya kukohoa tu kwenye mic zao , Watangazaji wake wamekuwa makada halisi wa ccm wenye kusifia hata ukandamizaji , hoja zote zenye tija hazijawahi kupewa nafasi kwenye TV hii .

Kwa tabia hii TBC imepoteza kabisa watazamaji katika nchi hii baada ya wananchi kwa umoja wao kuidharau moja kwa moja , nini kimetokea leo kwa TBC kutangaza mkutano wa Chadema , Je TBC inatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Chadema baada ya wananchi kuipuuza ?

Napinga jambo hili na sitakubali Chadema itumike kama ngazi , waendelee kuifagilia ccm sisi tutapita nyumba kwa nyumba .

Naomba kuwasilisha .
Mkubwa uliona Mbali Sana. Kinachofanywa na TBC ni hujuma ya wazi Mana wanaita ni Matangazo Mubashara Ila wanaoongea ni watangazaji badala ya wenye Kampeni. Sasa waaachaje kumrusha Mbowe?
 
Kwa miaka mingi sana tangu kuondolewa kwa Tido Mhando kwenye uongozi wa TBC , Channel hii imejipambanua bila kificho wala uoga wowote kama channel ya ccm , kwa kuonyesha kila kinachofanywa na ccm hata mambo ya hovyo na yasiyo na tija kwa Taifa hili , imewapuuza wapinzani katika kipindi chote hicho huku ikiwanyima hata nafasi ya kukohoa tu kwenye mic zao , Watangazaji wake wamekuwa makada halisi wa ccm wenye kusifia hata ukandamizaji , hoja zote zenye tija hazijawahi kupewa nafasi kwenye TV hii .

Kwa tabia hii TBC imepoteza kabisa watazamaji katika nchi hii baada ya wananchi kwa umoja wao kuidharau moja kwa moja , nini kimetokea leo kwa TBC kutangaza mkutano wa Chadema , Je TBC inatafuta umaarufu kupitia mgongo wa Chadema baada ya wananchi kuipuuza ?

Napinga jambo hili na sitakubali Chadema itumike kama ngazi , waendelee kuifagilia ccm sisi tutapita nyumba kwa nyumba .

Naomba kuwasilisha .
Wafukuzeni muda huu msichelewe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom