Torra Siabba
Senior Member
- Jul 24, 2016
- 105
- 102
Ndugu wana Jukwaa, juzi January 31 Rais Mama samia Alikua Nyamagana Mwanza kwaajili ya kugawa vizimba na mitumbwi ya kisasa kwa wavuvi zoezi ambalo lilifanyika kandokando ya ziwa victoria na baadae Mh Rais alikuja Uwanja wa Nyamagana kwaajili ya kuzungumza na wananchi waliokua wakimngojea Mh Rais baada ya kuskia ujio wake Mwanza.
Kwenye Maandalizi Uwanja wa Nyamagana ulifanyiwa ukarabati wa maana Ikiwemo Geti jipya, Vyoo vilisafishwa lakini Siku mbili tu baada ya Mh Rais kuondoka Wasimamizi wa Uwnaja wa Nyamagana chini ya Afisa michezo wa Jiji la Mwanza Mohamed Bitegeko wameondoa Koki za maji Vyooni na sasa Vyoo vimerudi kama vilivyokua,
Ukiangalia Uwanja wa Nyamagana karibia kila siku mechi zinachezwa na watu wanalipia gharama za Uwanja, na Haya Magonjwa ya mlipuko kama KIPINDUPINDU Na watu wanatakiwa kunawa mikono watanawa wapi?
Nashauri Mabadiliko ya Haraka kwa Msimamizi huyu Maaba ameufanya Uwanja wa Nyamagana kama Kitegauchumi chake lakini hawaujali hata kidogo.
Kwenye Maandalizi Uwanja wa Nyamagana ulifanyiwa ukarabati wa maana Ikiwemo Geti jipya, Vyoo vilisafishwa lakini Siku mbili tu baada ya Mh Rais kuondoka Wasimamizi wa Uwnaja wa Nyamagana chini ya Afisa michezo wa Jiji la Mwanza Mohamed Bitegeko wameondoa Koki za maji Vyooni na sasa Vyoo vimerudi kama vilivyokua,
Ukiangalia Uwanja wa Nyamagana karibia kila siku mechi zinachezwa na watu wanalipia gharama za Uwanja, na Haya Magonjwa ya mlipuko kama KIPINDUPINDU Na watu wanatakiwa kunawa mikono watanawa wapi?
Nashauri Mabadiliko ya Haraka kwa Msimamizi huyu Maaba ameufanya Uwanja wa Nyamagana kama Kitegauchumi chake lakini hawaujali hata kidogo.