Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,996
- 15,119
Hata hapo kariako ulionesha UBAGUZI kwa kutaja watu kwa KABILA lao na watu kwa RANGI zao !! jifunze kuPOST !!Hivi wewe uliielewa post yangu? Au umejibu tu, nimesema msikiti wa Manyema kariakoo, sio umanyemani Kigoma.
Mpendwa kwa hili lijuwe vizuri kuwa MUISLAM wa haki anaweza Swali popote ilimradi pawe pakavu (yes anaweza Swali hata makanisani popote na msikiti yote)Wasunni wanaweza kusali msikiti wa Mashia?
Je waismailia wanaweza kuswali kwa wasunni?
Unabaguliwa kwa lipi na una baguliawa vpMahali alipokosea ni kuongelea ubaguzi wa kuvua viatu, wakati mtoa mada ameongelea ubaguzi wa "RANGI"
ILA yote kwa yote,
Misikiti na Makanisa asili yake ni "UBAGUZI"
Wewe mtu Mweusi hutakaa uache kubaguliwa na Wazungu, Waarabu, Wahindi au Wachina na wajapan.
Kuna Misikiti yenye ubaguzi hata Arusha.
Hayo ni mambo ya kizamani, enzi Kariakoo nyumba zinapauliwa na makuti na mabati ya madebe !Hivi wewe uliielewa post yangu? Au umejibu tu, nimesema msikiti wa Manyema kariakoo, sio umanyemani Kigoma.
Unashangaa kuingia habari ya kanisa ila hushangai habari ya viatu imeingiaje hapa.Watanzania bana...
Mada inaelezea ubaguzi wa watu weusu katika Msikiti flani ila wewe unazungumzia habari ya kanisani.
Hiyo Misikiti IPO.
Uzi unazungumzia UBAGUZI, Sasa ulitaka comments zizungumzie nini? Nahisi haya yamekugusa.Hata hapo kariako ulionesha UBAGUZI kwa kutaja watu kwa KABILA lao na watu kwa RANGI zao !! jifunze kuPOST !!
Acha Uongo, hata kama uislam hauruhusu Ubaguzi, Waarabu wanawabagua Wabantu hata katika Ibada.mnafiki mkubwa uislamu hauna ubaguzi kama wengine hata leo nikienda china nitaswali acha wehu wako
Yamenigusa sikatai, Lakini ninao ubavu wa kupambana nao...!!Uzi unazungumzia UBAGUZI, Sasa ulitaka comments zizungumzie nini? Nahisi haya yamekugusa.
Wagalatia bana ! mbona Uarabuni hakukuwa na akina Martin Luther King, ila watu mashuhuri weusi waliingia Uislaam. Muhammad Ally Malcom X Kareem Abduljabar to mention few !Acha Uongo, hata kama uislam hauruhusu Ubaguzi, Waarabu wanawabagua Wabantu hata katika Ibada.
OVA
Hahaha...wewe ni Mbantu tu mbele ya waarabu na dini yaoWagalatia bana ! mbona Uarabuni hakukuwa na akina Martin Luther King, ila watu mashuhuri weusi waliingia Uislaam. Muhammad Ally Malcom X Kareem Abduljabar to mention few !
Kujua habari ya msikitini ni mpaka uwe muislamu? Mbona waislam huwa wanayatangaza hadharani mambo yao na yanayopaswa kufanyika? Hata kupitia CD'Ssasa kajuaje mambo ya ndani msikitini?
Sasa kumbe kuna UBAGUZI namna hiyo?Ukiwa na govi poa uruhusiwi kuingia msikitini wenye mkono wa sweta wanabaguliwa pia !
SalaamAleykum W W..
Nakuamkia kwa Salaam za muumba Rehema zake ziwe juu yetu !!
kwa heshima na taadhima nachambua kauli uliyotujuza kuwa Huko Asia na huku barani Africa !!
Wanazuoni wengi husema "ihtilafu za MaUlamaa ni rehema" yaani kuna Madrasa (mafundisho) mbali mbali za ilmu ya dini.... japo wapo wanaokubalina na upamabaji (urembo,maukato kwa "ke" hizo) na wapo wanaopingana nao na wapo waiitayo makruhu (kero) !!Sasa yategemea mtumiaji huyo anafuata MADRASA ipi ...
Makazi mema na kila lenye kheri nawe...
MashaAllah nimekubali kweli kuna ma Imam wanne!!! NaKushukuru kwa edctv. info !!!Aleikum Salaam.
Mimekusoma vizuri.
Naam. Kuna madrassa tofauti ya dini.
Nashukuru Mungu, nimetembea Uturuki, Indonesia, Brunei Darusallam na Malaysia. Huko kote kuna ilmu tofauti na pia ni utamaduni tofauti.
Indonesia, Brunei na Malaysia, watoto wa kiume wanatahiriwa wakiwa wakubwa (miaka 5-8) na kufanywa sherehe kubwa. Wa kike, pia kuna Sunna inafanywa, hawawakati bali wanatoboa tundu dogo na sindano katika "clitoris"kitu ambacho hatufanyi kwa watoto wa kike nyumbani.
Uturuki "ameen" huisikii ukisali. Hawaitumii. Lakini Mimi naisema kimazoea nikiwa Istanbul.
Na kama nilivyoandika, wanatumia perfume wakienda kusali Asia, wanaamini kuwa lazima wanukie na kupendeza wakienda kusali, japo wanajifunika na nguo maalum ya kusalia, kwa mbali utafikiri ni mabohora wa Tanzania.
Kila la kheri.
AiseeeSalaamAleykum W W..
Nakuamkia kwa Salaam za muumba Rehema zake ziwe juu yetu !!
kwa heshima na taadhima nachambua kauli uliyotujuza kuwa Huko Asia na huku barani Africa !!
Wanazuoni wengi husema "ihtilafu za MaUlamaa ni rehema" yaani kuna Madrasa (mafundisho) mbali mbali za ilmu ya dini.... japo wapo wanaokubalina na upamabaji (urembo,maukato kwa "ke" hizo) na wapo wanaopingana nao na wapo waiitayo makruhu (kero) !!Sasa yategemea mtumiaji huyo anafuata MADRASA ipi ...
Makazi mema na kila lenye kheri nawe...
Walipata hisia utawaibia viatu...ndo mana wakakubaguaKuna msikiti fulani upo maeneo ya posta jijini daresalaam huwa siwaelewi waumini wake?
Katika uchunguzi wangu nilipata kuambiwa kuwa watu weusi hawaswali katika msikiti huo, pia kuna ubaguzi wa rangi !!
Inawezekanaje wazawa wabaguliwe katika nchi yao ? Natamani kusikia shuhuda na adha za wenzangu walioweza kuhudhuria msikiti huu wa posta .
Hamna haja ya kuutaja wahusika wanaujua
That is a circular argument about circular motion.kwanini iwe ku-zungu-ka na sio ku-afrika-ka?