Msikiti wa posta na ubaguzi??

Msikiti wa posta na ubaguzi??

Tape measure

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
1,988
Reaction score
3,688
Kuna msikiti fulani upo maeneo ya posta jijini daresalaam huwa siwaelewi waumini wake?

Katika uchunguzi wangu nilipata kuambiwa kuwa watu weusi hawaswali katika msikiti huo, pia kuna ubaguzi wa rangi !!

Inawezekanaje wazawa wabaguliwe katika nchi yao ? Natamani kusikia shuhuda na adha za wenzangu walioweza kuhudhuria msikiti huu wa posta .

Hamna haja ya kuutaja wahusika wanaujua
 
'katika pita pita zangu nilipata kuambiwa....'.
Na bado unasema umefanya uchunguzi ukaishia kuambiwa badala ya kuingia kujionea kama ni kweli au laah..!

Wacha NIDA waendelee na ukaguzi wa vyeti tu maana hakuna namna..!!
 
Kuna msikiti fulani upo maeneo ya posta jijini daresalaam huwa siwaelewi waumini wake?

Katika uchunguzi wangu nilipata kuambiwa kuwa watu weusi hawaswali katika msikiti huo, pia kuna ubaguzi wa rangi !!

Inawezekanaje wazawa wabaguliwe katika nchi yao ? Natamani kusikia shuhuda na adha za wenzangu walioweza kuhudhuria msikiti huu wa posta .

Hamna haja ya kuutaja wahusika wanaujua
Misikiti yote ina majina yake.... kwahivyo kuacha kuutaja si katika tabia za kiislaam
 
Kuna msikiti fulani upo maeneo ya posta jijini daresalaam huwa siwaelewi waumini wake?

Katika uchunguzi wangu nilipata kuambiwa kuwa watu weusi hawaswali katika msikiti huo, pia kuna ubaguzi wa rangi !!

Inawezekanaje wazawa wabaguliwe katika nchi yao ? Natamani kusikia shuhuda na adha za wenzangu walioweza kuhudhuria msikiti huu wa posta .

Hamna haja ya kuutaja wahusika wanaujua

Posta kuna misikiti zaid ya 7 ni upi huo? Aliekusimulia mwambie akutajie Jina la mskt huo
 
Uanabaguliwa ndiyo..sasa ulitaka iwaje? Kwani itakuwa ni Mara ya kwanza kubaguliwa?? Ndo maana kuna wazungu,waarabu,waafrika wahindi nk. Similar birds flock together bwana...ulitaka uwe kenge kwny msafara wa mamba? Waarabu wa Pemba hujuana kwa vilemba mkuu.. Kwani ukiswali msikiti mwingingine kwani kuvunjika kwa koleo siyo mwisho wa uhunzi kaka. Hata watoto hucheza na wenzao wanaoendana! Unalalamika kubaguliwa nchini kwako? Ubaguzi ulikuwepo tangu enzi za akina Said Balaghash itakuwa leo?
 
Misikiti yote ina ubaguzi.

Inabagua wasiotaka kuvua viatu mlangoni.

Sema jingine.
Kwa sababu ulikuwa ukiingia kanisani na viatu basi unataka kila sehemu iwe hivyo hivyo.

Sitaki kusema kwamba upungufu wa elimu kwa kitu unachokijadili ndiyo kilichokufanya uropokwe hivyo.
 
Back
Top Bottom