Msikilizeni Waziri mwenye Dhamana

Msikilizeni Waziri mwenye Dhamana

MNEKI

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2014
Posts
992
Reaction score
1,310
Mama unachokihubiri na unachokiishi ni vitu viwili tofauti wewe kama Waziri mwenye dhamana ya maendeleo ya jamii umechukua hatua gani :

Kabla ya kutuhubiria

Neno hilo lingeanza kukusaidia wewe Kuona vitu vinavyoharibu jamii....
Mfano
-Kuna matangazo ya pombe
-Betting
-Michezo ya bahati nasibu

Haya yote yanafanyika kiholela sana. Kuna vitu vinapandikizwa kwa jamii hasa watoto wetu mapema sana na ndio chanzo kikubwa cha mmomonyoko wa maadili kwenye jamii, Uvivu na kudumaza fikra za vijana wengi kutoona fursa.

Mmomonyoko wa maadili hauji ghafla kama chafya,, ni vitu Hivi ambavyo mnapuuza.

Mama haya ulipaswa kuyasimamia hata kwa gharama ya kujiudhuru kama ungekosa ushirikiano.
Vinginevyo , mtakuja kuulizwa maswali magumu sana kwa Mungu kwa nafasi za uongozi mlizopata hapa duniani.

"Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure." Kutoka 20:7
 
Mama unachokihubiri na unachokiishi ni vitu viwili tofauti wewe kama Waziri mwenye dhamana ya maendeleo ya jamii umechukua hatua gani :

Kabla ya kutuhubiria

Neno hilo lingeanza kukusaidia wewe Kuona vitu vinavyoharibu jamii....
Mfano
-Kuna matangazo ya pombe
-Betting
-Michezo ya bahati nasibu

Haya yote yanafanyika kiholela sana. Kuna vitu vinapandikizwa kwa jamii hasa watoto wetu mapema sana na ndio chanzo kikubwa cha mmomonyoko wa maadili kwenye jamii, Uvivu na kudumaza fikra za vijana wengi kutoona fursa.

Mmomonyoko wa maadili hauji ghafla kama chafya,, ni vitu Hivi ambavyo mnapuuza.

Mama haya ulipaswa kuyasimamia hata kwa gharama ya kujiudhuru kama ungekosa ushirikiano.
Vinginevyo , mtakuja kuulizwa maswali magumu sana kwa Mungu kwa nafasi za uongozi mlizopata hapa duniani.

"Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure." Kutoka 20:7

Hakuna kiongozi wa mtume aliyemaliza kila changamoto duniani. Mtume Yesu naye aliishi miaka yake akaondoka bado kijana hakumaliza changamoto na bado kuna waliomkataa alipokuwa akifanya kazi yake, ajabu hao hao wakamkubali baada ya kumaliza kazi na kuondoka.

Aidha, hata wizara kongwe na kubwa za miaka mingi bado hazijawahi kumaliza changamoto na zinaibuka mpya kila leo, itakuwa wizara ya maendeleo ya jamii yenye umri wa miaka 3 na miezi 6.

Tulichofanya tumefanya, ya kuanzisha tumeanzisha, yaliyobakia yataendelezwa kwa kuwa, kazi ya ujenzi wa Taifa haijaisha. Na katika mafanikio hayo yaliyopatikana mfano hapa kwenye bango chini👇, hatuna budi kumshukuru Mungu na kwa shukrani hizo kwa imani yangu mimi, naimba🤗🥰 na wewe ikikupendeza shukuru kwa imani yako na isipokupendeza basi, potezea.

Hii ni kwa kifupi tafadhali....
IMG-20250610-WA0013(9).jpg
 
Mama unachokihubiri na unachokiishi ni vitu viwili tofauti wewe kama Waziri mwenye dhamana ya maendeleo ya jamii umechukua hatua gani :

Kabla ya kutuhubiria

Neno hilo lingeanza kukusaidia wewe Kuona vitu vinavyoharibu jamii....
Mfano
-Kuna matangazo ya pombe
-Betting
-Michezo ya bahati nasibu

Haya yote yanafanyika kiholela sana. Kuna vitu vinapandikizwa kwa jamii hasa watoto wetu mapema sana na ndio chanzo kikubwa cha mmomonyoko wa maadili kwenye jamii, Uvivu na kudumaza fikra za vijana wengi kutoona fursa.

Mmomonyoko wa maadili hauji ghafla kama chafya,, ni vitu Hivi ambavyo mnapuuza.

Mama haya ulipaswa kuyasimamia hata kwa gharama ya kujiudhuru kama ungekosa ushirikiano.
Vinginevyo , mtakuja kuulizwa maswali magumu sana kwa Mungu kwa nafasi za uongozi mlizopata hapa duniani.

"Usilitaje bure jina la Bwana, Mungu wako, maana Bwana hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure." Kutoka 20:7
Hakika umechambua vizuri. Mh. Dkt Gwajima pia alione hili la kwenye public transport hasa mabasi unakuta wanaweka movie za kuuana ambazo hazipaswi maana unakuta kuna watoto yaani badala ya serikali kuweka amri mabus yote yaoneshe royal tour unakuta ma movie ya kuchinjana
 
Dkt. Gwajima D
Mama Vicky em njoo hapa utolee ufafanuzi wa kina. Lol
Inashangaza anatuasa kuhusu kunyanyaswa kwa watoto na wakina mama na ukatili wa jinsia,
Hivi mtu kutekwa na kuuwawa na mtu kunyanywaswa kingono kipi kibaya zaidi?
Maana yote yanahusu ustawi wa jamii ambao Uko chini wako Madam Waziri😂😂😂

Au wanaotekwa ni wa jamii ipi😜

Kula chuma hiko.
 
Inashangaza anatuasa kuhusu kunyanyaswa kwa watoto na wakina mama na ukatili wa jinsia,
Hivi mtu kutekwa na kuuwawa na mtu kunyanywaswa kingono kipi kibaya zaidi?
Maana yote yanahusu ustawi wa jamii ambao Uko chini wako Madam Waziri😂😂😂

Au wanaotekwa ni wa jamii ipi😜

Kula chuma hiko.
Lete cheti chako cha kusoma chuo cha ustawi wa jamii kwanza kabla ya kurejea majukumu yake kwa kufuata upepo wa online rafiki🙆
 
Mimi walau nina washauri rasmi nawasikiliza tunapiga kazi hadi tunalinda wanao huko umeshindwa kuwalinda, sasa wewe washauri wako rasmi wako wapi au kama una kacheti nikuombe uwe mshauri wangu pia? Naona vyote huna😭, kilio

Nipe chako kwaza cha ustawi wa jamii, 😜😜

Alafu Naona kama hurudi tena wewe kwenye baraza😜😜
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom