nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
mwanaume wa ukweli lazima apate mshikemshike, by the way polis wana mpa umaarufu wa bure msigwa!Leo Msigwa atajua maana ya mtondoo
mwanaume wa ukweli lazima apate mshikemshike, by the way polis wana mpa umaarufu wa bure msigwa!Leo Msigwa atajua maana ya mtondoo
Mandela hakuwa mpuuzi kama hawa wapenda attention
Juzi kubwa jinga lingine lilikuwa linazidisha muda ili likamatwe...
Mnatakiwa mfanye mambo ya kimaendeleo ili wananchi wawachague sio kufanya vurugu kama walevi wa viroba
sio mara ya kwanza.. ila wewe ukiwekwa ndani ndio utakomaLeo atanyea debe akome
MSIGWA MBARONI: Polisi Iringa inamshikilia Mbunge wa Iringa Mjini, Mch. Peter Msigwa, ahusishwa na vurugu katika kampeni za udiwani Kata ya Nduli jioni hii.source mwananchi
Mandela hakuwa mpuuzi kama hawa wapenda attention
Juzi kubwa jinga lingine lilikuwa linazidisha muda ili likamatwe...
Mnatakiwa mfanye mambo ya kimaendeleo ili wananchi wawachague sio kufanya vurugu kama walevi wa viroba
Huyu Msigwa amalizie kipindi chake salama ....
Viongozi wa chadema bila kufanya vurugu za kitoto huwa wanakosa raha sana.
Wananikumbusha wanawake wa kabila moja ra kaskazini wao bira kupigwa huwa wanaona hawapendwi
Mm siyo mwanasiasa ila kabla ya kuingia hapa jf nlifaham habar za Lukosi kupitia blogs mbalimbali juu ya kazi zako huko majuu na nilipenda sana ujasiriamali wako ila sema sjapendezwa sana na namna unavo post hapa jf. Unaweza baki na heshima yako mwagito km utakuwa unaweka post za kiutu uzima na busara ili nasi tujifunze toka kwako. Uwuvaha mugoda mtwa! I may be wrong kaka bt am clear and I stand to be corrected!Mandela hakuwa mpuuzi kama hawa wapenda attention
Juzi kubwa jinga lingine lilikuwa linazidisha muda ili likamatwe...
Mnatakiwa mfanye mambo ya kimaendeleo ili wananchi wawachague sio kufanya vurugu kama walevi wa viroba
then you dont know mandela au hujasoma hata vitabu vyake
Nadhani mpuuzi baba na mama yako walioshindwa kukulea vema.
Itakuwa kuna kaburudani wanapewa huko sero, sio bure! hata LEMA anapapenda sana.
Viongozi wa chadema bila kufanya vurugu za kitoto huwa wanakosa raha sana.
Wananikumbusha wanawake wa kabila moja ra kaskazini wao bira kupigwa huwa wanaona hawapendwi
Mm siyo mwanasiasa ila kabla ya kuingia hapa jf nlifaham habar za Lukosi kupitia blogs mbalimbali juu ya kazi zako huko majuu na nilipenda sana ujasiriamali wako ila sema sjapendezwa sana na namna unavo post hapa jf. Unaweza baki na heshima yako mwagito km utakuwa unaweka post za kiutu uzima na busara ili nasi tujifunze toka kwako. Uwuvaha mugoda mtwa! I may be wrong kaka bt am clear and I stand to be corrected!
Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
Hahahhahahhahahahaaaaaaaaaaaaa!Itakuwa kuna kaburudani wanapewa huko sero, sio bure! hata LEMA anapapenda sana.