Fundi Madirisha
Senior Member
- Jun 30, 2020
- 184
- 987
Ninasikitika sana kunona umeingia chaka kua na msemaji wa serikali ambaye ima kwa makusudi mazima anapotosha umma au hajui anachokifanya. Gazeti la Rais mwema kuandika eti "HAMZA WA CCM" wananchi walishindwa kuthibitisha?
Huyu Hamza si alijenga ofisi cha Chama huko Chunya? Mnataka uthibitisho upi?
Mmewafuata wananchi gani walioshindwa kuthibitisha?
Huyu Hamza si alijenga ofisi cha Chama huko Chunya? Mnataka uthibitisho upi?
Mmewafuata wananchi gani walioshindwa kuthibitisha?