Msigwa acha propaganda hazikusaidii, Hamza ni wa CCM, unataka ushindi gani?

Fundi Madirisha

Senior Member
Jun 30, 2020
184
986
Ninasikitika sana kunona umeingia chaka kua na msemaji wa serikali ambaye ima kwa makusudi mazima anapotosha umma au hajui anachokifanya. Gazeti la Rais mwema kuandika eti "HAMZA WA CCM" wananchi walishindwa kuthibitisha?

Huyu Hamza si alijenga ofisi cha Chama huko Chunya? Mnataka uthibitisho upi?
Mmewafuata wananchi gani walioshindwa kuthibitisha?
 
Hilo ni gaidi halitakiwi kupewa heshima yeyote lilitakiwa litoswe baharini sio kuzikwa
 
Issue ya Hamza amelichafua jeshi la Polisi.
Imekichafua chama cha Mapinduzi
Imeishaifua ofisi ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi
Imeichafua Ikulu na
Imemchafua Mheshimiwa Rais
na Imefunua udhaifu mkubwa sana wa Kiuongozi wa Samia Suruhu.
 
Issue ya Hamza imethibisha kwamba Malipo wanayopata askari wetu kwa kazi ya kukisaidia chama cha mapinduzi kung'ang'ania madarakani kwa msaada wa jeshi la Polisi ni ruhusa ya kufanya ung'anyaji na uporaji wa mali za Raia.

matokeo yake askari wetu wamekuwa ni matapeli, washiriki wa biashara za madawa ya kulevya, wanyang'anyi na wauji, na kupelekea kuwa na jeshi la polisi lisilo na weredi wa kusimamia usalama wa raia na mali zao kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi,
 
Issue ya Hamza imethibisha kwamba Malipo wanayopata askari wetu kwa kazi ya kukisaidia chama cha mapinduzi kung'ang'ania madarakani kwa msaada wa jeshi la Polisi ni ruhusa ya kufanya ung'anyaji na uporaji wa mali za Raia.

matokeo yake askari wetu wamekuwa ni matapeli, washiriki wa biashara za madawa ya kulevya, wanyang'anyi na wauji, na kupelekea kuwa na jeshi la polisi lisilo na weredi wa kusimamia usalama wa raia na mali zao kwa mujibu wa Katiba na sheria za nchi,
Una uthibitisho kuwa Hamza alitapeliwa na polisi?


Au ndo mihemko yako tu?? Nilikuwa nakuonaga una akili kumbe hauna lolote! Mweupe tu kichwani. Yaani story za vijiwe vya kahawa ndo unaleta humu?
 
Una uthibitisho kuwa Hamza alitapeliwa na polisi?


Au ndo mihemko yako tu?? Nilikuwa nakuonaga una akili kumbe hauna lolote! Mweupe tu kichwani. Yaani story za vijiwe vya kahawa ndo unaleta humu?
ulitakiwa ulete uthibitisho kwamba hakutapeliwa kabla ya kunishambulia. eyes and ears witnesses wote wanasema Hamza alikuwa analalamika kudhurumiwa na askari kabla ya mauti kumfika.

au unapingana mpaka na maelezo ya hamza mwenyewe?
 
ulitakiwa ulete uthibitisho kwamba hakutapeliwa kabla ya kunishambulia. eyes and ears witnesses wote wanasema Hamza alikuwa analalamika kudhurumiwa na askari kabla ya mauti kumfika.

au unapingana mpaka na maelezo ya hamza mwenyewe?
Anayetuhumu ndo anatakiwa kuthibitisha au anayepinga tuhuma?

Umeishia darasa la ngapi?
 
Anayetuhumu ndo anatakiwa kuthibitisha au anayepinga tuhuma?

Umeishia darasa la ngapi?
Weka hao mashahidi hapa video zao wakielezea hayo!

Video iliyopo ni iliyochukuliwa kwenye bus inayoonesha analalamika Siro kuua vijana wa kiislam huko kusini na anasema yeye anamtetea Allah!

Wewe video yako inayosema alidhurumiwa madini iko wapi?
 
Vijana wa kitanzania wengi ni wajinga wanafuata mkumbo hawatafuti fact
Weka hao mashahidi hapa video zao wakielezea hayo!

Video iliyopo ni iliyochukuliwa kwenye bus inayoonesha analalamika Siro kuua vijana wa kiislam huko kusini na anasema yeye anamtetea Allah!

Wewe video yako inayosema alidhurumiwa madini iko wapi?
 
Ninasikitika sana kunona umeingia chaka kua na msemaji wa serikali ambaye ima kwa makusudi mazima anapotosha umma au hajui anachokifanya. Gazeti la Rais mwema kuandika eti "HAMZA WA CCM" wananchi walishindwa kuthibitisha?

Huyu Hamza si alijenga ofisi cha Chama huko Chunya? Mnataka uthibitisho upi?
Mmewafuata wananchi gani walioshindwa kuthibitisha?
Ni sawa, alikuwa kada na si mwanachama.. Maana kama kujenga pekee ni alama ya uanachama, NAMKUMBUKA SABODO KWA ALIYOYAFANYA KWA CDM NA HUKU IKISEMEKANA YEYE NI MWANACCM
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom