figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,730
- 62,947
bado mkuu,hebu tupe sifa zao. Nalog off
1. Kamati mwizi men.
2. Wabana pua.
3. Wapaka karolaiti.
4. Wapaka poda.
5. Wabenua midomo.
6. Wala chips.
n.k
dont tell me!!aissSharobaro ni Msichana kigori mwenye kupenda kujipura. (Lakini wengine wanasema maana yake halisi ni makalio ya nyani)
Barobaro ni mwanaume mvulana (shababi)
Sharobaro ni Msichana kigori mwenye kupenda kujipura. (Lakini wengine wanasema maana yake halisi ni makalio ya nyani)
Barobaro ni mwanaume mvulana (shababi)
Hivi hao watu bado wapo tz? Nilidhani imetungwa sheria ya kuzuia huo upuuzi,
napita tu nikielekea gengeni.
1. Kamati mwizi men.
2. Wabana pua.
3. Wapaka karolaiti.
4. Wapaka poda.
5. Wabenua midomo.
6. Wala chips.
n.k
hee mpaka wala chips?
Dah! Kama vipi tuanzeni kuwatongoza na kuwatia mi mba za mgongo ili Cameron alipe deni la Dowans. Nalog offulishawahi ona wanaume kama mabinti?mia
na huyo muuza mchicha huyo atavunja ndoa yako, shauri yako!