Msichana wangu hapendi kushikwa kiuno

Msichana wangu hapendi kushikwa kiuno

Inasemekana kama mwanamke ajakazwa nati muda mrefu genye zote huamia kiunoni, sasa na hapo unasemaje mkuu huwa unakaza nati sawasawa au ndio wale wa tusubiri mpaka ndoa
mara moja moja sana mkuu
 
kaka huyo hakuwa mwaminifu, sasa mi nina wasiwasi na huyu.



Huyo endelea kumchunguza mkuu, huenda labda anaona aibu kushikwa mbele ya watu kiuno. Jaribu kumshika mkiwa faragha, halafu mwambie unajiona fahari kumshika mbele ya watu sababu n mpenzi wako
 
Habari zenu wakuu,

Mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa. Lakini kuna jambo moja dogo sana ambalo kwakweli huwa simuelewi yaani hapendi nimshike kiuno kitu ambacho mimi napenda nijivunie kwake.

Yaani nikimshika tu tunapokuwa matembezi au hata kwenye tukio kama harusi huwa hapendi na anawahi sana kutoa mkono. Sasa najiuliza kwanini awe hivyo?

Na naomba niwaulize wasichana/wanawake hivi unajisikiaje unaposhikwa kiuno na mpenzi wako au mume?
Staha za kiafrika, huyo ni mke mwema hataki kuiga tamaduni za wageni
 
Mchunguze vizuri mpenzi wako huenda ukimshika kiuno unampandisha nyege mwenzako halafu mpo in public asije anza toa halufu ukeni.
 
naona kama ananinyanyapaa kaka.
Huku kwetu waislam tuaswa kutangaza ndoa na si uchumba,mana hayo unayoyataka wewe ni kama kutangaza uchumba,tuliaswa hivyo ili kukwepa vijicho vya binadamu mana wanaweza wakakufunga usimuoe ng'o,kila siku ukawa unajiuliza tatizo nini,HII NDO MAANA YA STARA YA UCHUMBA.
 
naona kama ananinyanyapaa kaka.
Huku kwetu waislam tuaswa kutangaza ndoa na si uchumba,mana hayo unayoyataka wewe ni kama kutangaza uchumba,tuliaswa hivyo ili kukwepa vijicho vya binadamu mana wanaweza wakakufunga usimuoe ng'o,kila siku ukawa unajiuliza tatizo nini,HII NDO MAANA YA STARA YA UCHUMBA.
 
Huenda ukimshika kiuno unamuhamshia hisia za ku-do halaf anaogopa kukuambia watu tunatofautiana

Mtazamo tu
 
Habari zenu wakuu,

Mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa. Lakini kuna jambo moja dogo sana ambalo kwakweli huwa simuelewi yaani hapendi nimshike kiuno kitu ambacho mimi napenda nijivunie kwake.

Yaani nikimshika tu tunapokuwa matembezi au hata kwenye tukio kama harusi huwa hapendi na anawahi sana kutoa mkono. Sasa najiuliza kwanini awe hivyo?

Na naomba niwaulize wasichana/wanawake hivi unajisikiaje unaposhikwa kiuno na mpenzi wako au mume?
Ingekuwa mume sawa lakin mchumba tu ni makosa, huyo bado sio mali yako, Mchumba ulie nae ana aibu, na anaoneaka pia anajielewa na anafata tamaduni hasa za kiafrica tulizo zoea, hongera kwa kupata mchumba mzuri, hakuna kitu kizuri kinachotia raha kwa mwanamke kama mwanamke mwenye "HAYA" au kuona aibu hiyo ni sfa ya mwanamke mwema.
 
Halafu pia ujue "KIUNO" Ni nyenzo kuu katika maakuli, kwa tamaduni zetu za kiafrica hasa kwa watoto wa zamani ulikuwa kama unakatika kiuno mbele ya watu wazima wanakuchapa ilikwua inahesabiwa ni kama ukosefu wa adau kukatika kiuno achana na vizazi vya sasa, sasa kushikwa kiuno mbele ya watu ni kama kushikwa takho, lol, ila si adab nzuri hasa mbele za watu, najua wale wanao jiita wazungu watapinga. ila ipo ile ya kumshika kama bahati mbaya wakati anataka kukaa, au ukiwa unamvuta upande mwengine lakin mnatembea barabara na viuno mmh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom