Msichana wangu hapendi kushikwa kiuno

Msichana wangu hapendi kushikwa kiuno

mahari nilishatoa
Kutoa mahari sio ndo umenunua bidhaa yebooo,mahari sio procument unefanya,na kumtolea mahari sio unamfanya binti wa watu unavyo jisikia hiyo ni slavery na sio mapenzi, mahari ni sehemu ya heshima katika mila zetu sio transaction[color] hiyo mkuu,
 
Kama kusoma unashindwa....
Hata picha hauoni....

Mmmhhm ... No dear love Ammbembeleze my love atazoea tuu , iko siku.. Kushikana hands, shoulders, and kiuno ni ishara ya mapendo na kuhisi free kwa kuwa together.. While I love this some others dont love it . Isnt funny? Thanks..
 
lakini si inabidi nianze kumzoesha?

Yes. Mueleweshe kuwa unapenda kuwa Huru ukiwa nae , so its normal thing to do that with you.. Asiogope.. If akiwa bado hataki then don't force it just leave her alone .. Iko siku atatamani mwenyewe na kuanza kukushika wewe ... Then mmtakuwa the same page.. Thanks..
 
mmh hilo nalo tatzo ebu jaribu kumshka ass uone atafanyaje?!
 
Ujue kuna MTU anamwekea icho kiuno chakufanya unamshika kwa nguvu kama van dame atazoea tu
 
Habari zenu wakuu,

Mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa. Lakini kuna jambo moja dogo sana ambalo kwakweli huwa simuelewi yaani hapendi nimshike kiuno kitu ambacho mimi napenda nijivunie kwake.

Yaani nikimshika tu tunapokuwa matembezi au hata kwenye tukio kama harusi huwa hapendi na anawahi sana kutoa mkono. Sasa najiuliza kwanini awe hivyo?

Na naomba niwaulize wasichana/wanawake hivi unajisikiaje unaposhikwa kiuno na mpenzi wako au mume?
Nitumie no yake ya simu nimuulize halafu ntakupa jibu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom