Msichana wangu hapendi kushikwa kiuno

Msichana wangu hapendi kushikwa kiuno

Habari zenu wakuu,
mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa. Lakini kuna jambo moja dogo sana ambalo kwakweli huwa simuelewi yaani hapendi nimshike kiuno kitu ambacho mimi napenda nijivunie kwake.

Yaani nikimshika tu tunapokuwa matembezi au hata kwenye tukio kama harusi huwa hapendi na anawahi sana kutoa mkono. Sasa najiuliza kwanini awe hivyo?

Na naomba niwaulize wasichana/wanawake hivi unajisikiaje unaposhikwa kiuno na mpenzi wako au mume?

Sasa siku ya harusi Mziki mtafunguaje? Maana itakuwa blues...
 
Habari zenu wakuu,
mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa. Lakini kuna jambo moja dogo sana ambalo kwakweli huwa simuelewi yaani hapendi nimshike kiuno kitu ambacho mimi napenda nijivunie kwake.

Yaani nikimshika tu tunapokuwa matembezi au hata kwenye tukio kama harusi huwa hapendi na anawahi sana kutoa mkono. Sasa najiuliza kwanini awe hivyo?

Na naomba niwaulize wasichana/wanawake hivi unajisikiaje unaposhikwa kiuno na mpenzi wako au mume?
Huyo genye zake zitakuwa kwenye kiuno Si bure!
 
Habari zenu wakuu,
mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa. Lakini kuna jambo moja dogo sana ambalo kwakweli huwa simuelewi yaani hapendi nimshike kiuno kitu ambacho mimi napenda nijivunie kwake.

Yaani nikimshika tu tunapokuwa matembezi au hata kwenye tukio kama harusi huwa hapendi na anawahi sana kutoa mkono. Sasa najiuliza kwanini awe hivyo?

Na naomba niwaulize wasichana/wanawake hivi unajisikiaje unaposhikwa kiuno na mpenzi wako au mume?
Mkuu isije kuwa starter yk ipo kiunoni...!!
 
Inaonaekana hana uhuru na wewe, sasa hapo ni mwanzo tuu, je mkishaenda mbali zaid ya hapo na kuoana. si mtajikuta mnatembea km mtu na dada yake.
mbona mie simnyimi uhuru kumshika tu ili nipate raha.
 
Habari zenu wakuu,
mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa. Lakini kuna jambo moja dogo sana ambalo kwakweli huwa simuelewi yaani hapendi nimshike kiuno kitu ambacho mimi napenda nijivunie kwake.

Yaani nikimshika tu tunapokuwa matembezi au hata kwenye tukio kama harusi huwa hapendi na anawahi sana kutoa mkono. Sasa najiuliza kwanini awe hivyo?

Na naomba niwaulize wasichana/wanawake hivi unajisikiaje unaposhikwa kiuno na mpenzi wako au mume?
muda mwingine tunatakiwa tuwe tunasikiliza nini wapenz wetu wanataka nini hawataki, sio kila kitu mpaka ujue sababu vingine kausha tu mkuu, we mwenyewe akikushika matako lazima uwe mkali kama mbogo so vingine poezea tu sio mpaka ulete humu Jf
 
Inasemekana kama mwanamke ajakazwa nati muda mrefu genye zote huamia kiunoni, sasa na hapo unasemaje mkuu huwa unakaza nati sawasawa au ndio wale wa tusubiri mpaka ndoa
 
Wewe boya itakuwa hupewi hivyo vingine.Halafu unanipa hasira.Demu hashikwi kiuno kwa hiyari Bali unalazimisha hadi alegee.wewe boya ukute unamuuliza mpenzi wako,nikushike kiuno sasa hivi.Mapunga kama nyinyi ndiyo mnafanya tuonekane wanaume wa dar hatuna swaga.Na ningempata huyo mwanamke wako ningemzaragaza kama kiwete hadi umsahau.
nilikuwa simuombi kumshika,nilikuwa namshika bila kumtaarifu ila nae hachelewi kutoa mkono nikirudia na yeye anatoa tena.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom