- Thread starter
- #101
mi mwenyewe nishaanza kuwa na wasiwasi nayehuyo ninawasiwasi naye... niwajuvyo wasichana wengi wanapenda sana kushika hivyo....
vipi ukita kumkumbatia si ndio anapiga kelele kabisa
mi mwenyewe nishaanza kuwa na wasiwasi nayehuyo ninawasiwasi naye... niwajuvyo wasichana wengi wanapenda sana kushika hivyo....
vipi ukita kumkumbatia si ndio anapiga kelele kabisa
kaka huyo hakuwa mwaminifu, sasa mi nina wasiwasi na huyu.Bora hata huyo wa kwako. Mimi kuna mmoja Huyo nilimpata yaani hata kumkumbatia ilikua in shughuli pevu, alikua hataki nimkumbatie, nimshike mkono, wala kiss alikua hapendi
lakini kila mtu anajua ni mchumba wangu kuna kuzoea tena hapo?Una mshika kiuno mbele za watu na hajazoea kwan mkiwa chumbani anagoma pia? Mazingira aliyokulia sio ya kushikwa mbele za watu au ana aibu sn
Ulishawahi kumgegeda ama? Kuna wengne wana sitima za haraka so hataki umushike maana atajihis vibaya kablaHabari zenu wakuu,
mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa. Lakini kuna jambo moja dogo sana ambalo kwakweli huwa simuelewi yaani hapendi nimshike kiuno kitu ambacho mimi napenda nijivunie kwake.
Yaani nikimshika tu tunapokuwa matembezi au hata kwenye tukio kama harusi huwa hapendi na anawahi sana kutoa mkono. Sasa najiuliza kwanini awe hivyo?
Na naomba niwaulize wasichana/wanawake hivi unajisikiaje unaposhikwa kiuno na mpenzi wako au mume?
Mkuu labda jaribu kumshika tako achana na kiuno,Habari zenu wakuu,
mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa. Lakini kuna jambo moja dogo sana ambalo kwakweli huwa simuelewi yaani hapendi nimshike kiuno kitu ambacho mimi napenda nijivunie kwake.
Yaani nikimshika tu tunapokuwa matembezi au hata kwenye tukio kama harusi huwa hapendi na anawahi sana kutoa mkono. Sasa najiuliza kwanini awe hivyo?
Na naomba niwaulize wasichana/wanawake hivi unajisikiaje unaposhikwa kiuno na mpenzi wako au mume?
Smtym, lets say baada ya mambo hivi,muulize hivi d kwanini hupendi nikushike kiuno tukiwa out,namshangaa huyu mwenzio nikiweka mkono anatoa.
Acha fix wewe....wewe si ndio ulikuwa unalalamika mimi nina aibu siwezi hata kukushika mkono hadharani?Mie mwenyewe sipendwi kushikwa
Hahahaha utanivunjia ndoa wewe....Acha fix wewe....wewe si ndio ulikuwa unalalamika mimi nina aibu siwezi hata kukushika mkono hadharani?
Hao ndo wanawake wa ki analogie tafuta digital wwHabari zenu wakuu,
mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa. Lakini kuna jambo moja dogo sana ambalo kwakweli huwa simuelewi yaani hapendi nimshike kiuno kitu ambacho mimi napenda nijivunie kwake.
Yaani nikimshika tu tunapokuwa matembezi au hata kwenye tukio kama harusi huwa hapendi na anawahi sana kutoa mkono. Sasa najiuliza kwanini awe hivyo?
Na naomba niwaulize wasichana/wanawake hivi unajisikiaje unaposhikwa kiuno na mpenzi wako au mume?
hebu weka mambo sawa,anakataa kushikwa mkiwa faragha au mbele ya kadamnasi?Habari zenu wakuu,
mimi nina mchumba wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa. Lakini kuna jambo moja dogo sana ambalo kwakweli huwa simuelewi yaani hapendi nimshike kiuno kitu ambacho mimi napenda nijivunie kwake.
Yaani nikimshika tu tunapokuwa matembezi au hata kwenye tukio kama harusi huwa hapendi na anawahi sana kutoa mkono. Sasa najiuliza kwanini awe hivyo?
Na naomba niwaulize wasichana/wanawake hivi unajisikiaje unaposhikwa kiuno na mpenzi wako au mume?
kuna muda wa kurilaksi mkuu,lazima mambo hayo yawepo,maendeleo yana wakati wake na mapenzi yana nafasi yake.Ni kwel unajivunia kumshika kiuno.. Lakin jaribu kujivunia jambo jingine juu yake.... Unajua maswala ya kujivunia ukiyaswitch kwenye mambo ya maaendeleo utasogea sana hapo ulipo chief.. Hii ya kushika kiuno si ya kujivunia sana mkuu
hivyo napewa mkuu japo mara moja moja unajua tunatarajia kufunga ndoa tena.
teh teh teh labda asee😀😀,,,,jamaa ajaribu kumkagua🙂😉Atakua ana HIRIZI