Msichana wangu hapendi kushikwa kiuno

Msichana wangu hapendi kushikwa kiuno

Usione soooo sema naeeee........(naimba tu) ila muulize tu siyo dhambi binafsi nahisi hizo ndio anga zake za kupandisha nadhani umenielewa?
 
Sasa umshike kiuno kwa lipi tena hadharani? Humpi chochote except yo d.k. Unamchosha bure alivyoona ndo hayo magori 7 ya kumzeesha bure wakati humpi chochote tofauti nakumzeesha akaamua kutafta baba mlezi. Ambae anamcare na hamchoshi, nusu gori tu, laki 3. Wewe magori 7 with northing kisa umemuhaidi ndoa.

Kwaiyo koma kumshikashika mbele za watu baba mlezi akijua tutaona utakula nn.? Umesahau kodi ya nyumba inaisha mwezi ujao? Take note.
 
Jaribukumshika. Mkiwawenyewe. Akiutoamkono. Juwahakupendi. Tabiazaohaowakikupendaloloteunalofanyahatakamanibaya. Hufuraiya. Nakamahakupendihataumfanyiezurihuonakawaida
 
Sasa umshike kiuno kwa lipi tena hadharani? Humpi chochote except yo d.k. Unamchosha bure alivyoona ndo hayo magori 7 ya kumzeesha bure wakati humpi chochote tofauti nakumzeesha akaamua kutafta baba mlezi. Ambae anamcare na hamchoshi, nusu gori tu, laki 3. Wewe magori 7 with northing kisa umemuhaidi ndoa.

Kwaiyo koma kumshikashika mbele za watu baba mlezi akijua tutaona utakula nn.? Umesahau kodi ya nyumba inaisha mwezi ujao? Take note.
Hahahahaaaa hampi chochote except his what...???
 
Sasa umshike kiuno kwa lipi tena hadharani? Humpi chochote except yo d.k. Unamchosha bure alivyoona ndo hayo magori 7 ya kumzeesha bure wakati humpi chochote tofauti nakumzeesha akaamua kutafta baba mlezi. Ambae anamcare na hamchoshi, nusu gori tu, laki 3. Wewe magori 7 with northing kisa umemuhaidi ndoa.

Kwaiyo koma kumshikashika mbele za watu baba mlezi akijua tutaona utakula nn.? Umesahau kodi ya nyumba inaisha mwezi ujao? Take note.
Hahahaha dah
 
Eeeeh navyopenda mimi khaa (iwe matembezi ya usiku lakini mwee), ukute mkaka ni mrefu kunizidi afu kanizungushia mkono kiunoni au mabegani mweeee, najikutaje ka-baby sasa

Inawezekana hayupo comfortable mwenzio, muelewe tu atazoea taratibuuuu
 
Jaribukumshika. Mkiwawenyewe. Akiutoamkono. Juwahakupendi. Tabiazaohaowakikupendaloloteunalofanyahatakamanibaya. Hufuraiya. Nakamahakupendihataumfanyiezurihuonakawaida
Daaah umesoma shule gani wewe?
 
Huyo anakuonea aibu mbele za watu, labda au hatak watu wajue, au ana mwngne.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom