msichana huyu amenichosha,soma kwa makini.

mashambani kwao

JF-Expert Member
Dec 5, 2011
370
56
Yeye yupo morogoro,mimi nipo bagamoyo nilimtembelea mwezi wa saba mwanzoni,nilikaa kwake siku kumi na mbili,baadaye nikarudi bagamoyo,ilipofika tarehe 20 mwezi wa nane alipiga simu na kunijulisha kuwa anamimba,huyu dada ni mfanyakazi wa serikali,nikamwambia nimefurahi sana nitalea mtoto wangu,baada ya kama wiki akapiga simu na kuniuliza je niwataarifu ndugu zangu?nikamwambia wajulishe tu kwa kuwa mimi nimeshajitambulisha kwao basi akapiga simu na kuwajulisha kinachoendelea,tarehe 31 mwezi wa nane alipiga simu angalieni akina dada sasa: dada.!mimi nimeona damu inatoka nimekwenda dukani nimepewa dawa za kuzuia kutoka damu,kaka:mimi nikamjibu kwa kuwa leo umechukua dawa nakuomba kesho asubuhi nenda hospitali iliukachekiwe vizuri,siku iliyofuata nikampigia simu nikauliza vipi unaendeleaje?dada akajibu kumbe zile dawa zimeongeza tatizo damu zinaendelea kutoka,nikamsisitiza lazima ufike hospitali baada ya siku mbili ndipo akafika hospital daktari akamwambia nakupa dawa za kukwangua tumbo mpaka naandika habari hii mimba haipo tena,wapendwa ninasiku mbili sijapata usingizi ninamaswali mengi ambayo sina majibu,naombeni ushauri na sio mizaha'jokes.
 
itafaa ufanye uchunguzi wa kina ili ujue ukweli, usije kukuta dada ana mtu mwingine. lkn pia mnafanya makosa kuzini bila kufunga ndoa. kama alikuwa na mtu mwingine, akapata mimba ya huyo mtu, huenda kamtosa, kaogopa akizaa mtoto hatafanana na wewe, hivyo itakuwa aibu kubwa.

kuwa mtulivu, muulize kwa utulivu maswali yote ikijumuisha kwann hakwenda hospitali kama ulivyomwelekeza kisha fanya uchunguzi utajua yote

jambo jingine mahusiano ya mbali siku zote sio mazuri, kama atakuwa hana tatizo na umeridhika na maelezo pamoja na uchunguzi wako, ni vema mkabariki ndoa ili kuishi pamoja, kwa mmoja kuhamia katika mji mmojawapo, nzuri zaidi kwako unakofanyia kazi mwanaume, ili kubadili mazingira kwa dada
 
Nenda Morogoro ukaujue ukweli bana..
Acha uzembe kila kitu unaambiwa kwenye simu tu??
Kwa sababu hata hapa JF kwa habari nyepesi kama hii utabaki kudanganywa tu..
 
Hakukuwa na mimba to start with! Nani alikuambia miscarriage inatibiwa na 'dawa ya kukwangua tumbo'? Mtumie tu hela huyo atapona, ukienda tena morogoro ukirudi kwako utaambiwa mimba ingine na stori itajirudia!
Ngoja nikalale mi nna mausingizi kama ya kulogewa!
 
Zingatia haya yafuatayo:
  • Nenda kanisani au msikitini katubu kwa dhambi ya kuzini
  • Mchukue mchumba wako mahala muafaka mkafunge ndoa halali ili msirudie ile dhambi ya uzinifu
  • Fanya mpango wa mmoja wenu kuhama ili kumfuata mwenzi wake mpate kuishi pamoja muda wote
  • Usithubutu kufuatilia jambo la mimba ambayo inasemekena imetoka maana utadhoofisha uaminifu kati yenu na huo unaweza kuwa mwanzo wa migogoro ktk mahusiano yenu.
  • Ukiwa bado huko uliko, tafuta rafiki yeyote pale Morogoro na mtambulishe kwa mchumba wako, kwa maswala kama hayo yaliyotokea ulitakiwa kumtuma rafiki yako afike kutoa msaada lakini pia kama sehemu ya kuhakiki ulilo ambiwa
Nadhani mengine watakushuri wengine
 
Kwa upande fulani namuelewa mdada... Hakuwa na hakika juu ya penzi lako kwake hivo akaona bora akuambie ana mimba, kuhakikisha kuwa wamaanisha akaona bora akuulize kama awajulishe ndugu zake... That way hata ungekataa kungekuwa hakuna kilichoharibika, angebaki na maumivu ya roho (kama kweli kakupenda) na kuangalia mpango mwingine.

I bet hana mimba... Kwa taarifa kuwa una mpango wa kwenda kujitambulisha hapo anakuandaa kukwambia damu zimetoka na kaenda pharmacy (mimba ni kitu delicate sana, hata wauza maduka ya madawa waoga kutoa dawa kwa mja mzito bila mpangilio). Hivo jiandae kuambiwa mwanao ulietarajia kulea kachoropoka.

Naomba nikushauri haya tokana na mtazamo wangu;

  1. Kama ni mwanamke wampenda kwa dhati na una hakika anakupenda pia hilo sioni kama ni tatizo na sababu ya kumuacha. Tokana na usanii mkubwa sana wa mapenzi wa sasa kwa wake na waume pia nadhani ni understandable yeye kukujaribu hivo (kikubwa ukiamua kuwa nae lazima mwonyeshe kukwazika).
  2. Kakuambia kuwa ana mimba, then akakuuliza kama awaambie ndugu zake. Hio inaonesha yupo desperate kwa ajili ya ndoa, ni muhimu pia kuliangalia kwa undani kama anakufaa; isije ikawa anatafuta tu picha ya kusema ana mume alafu mwisho wa siku asitimize wajibu wake kama mke huko siku za mbele.

Hata hivo sijaelewa kama huyo binti ni wa mda mrefu na kama hizo siku 12 ndio mara ya kwanza ama ni wapenzi wa kale, hayo pia yaweza kukusaidia katika maamuzi. Kila la kheri katika kutafuta suluhisho.
 
Nenda Morogoro ukaujue ukweli bana..
Acha uzembe kila kitu unaambiwa kwenye simu tu??
Kwa sababu hata hapa JF kwa habari nyepesi kama hii utabaki kudanganywa tu..

ushauri mzuri sana,haraka sana afike morogoro
 
Zingatia haya yafuatayo:
  • Nenda kanisani au msikitini katubu kwa dhambi ya kuzini
  • Mchukue mchumba wako mahala muafaka mkafunge ndoa halali ili msirudie
    ile dhambi ya uzinifu
  • Fanya mpango wa mmoja wenu kuhama ili kumfuata mwenzi wake mpate
    kuishi pamoja muda wote
  • Usithubutu kufuatilia jambo la mimba ambayo inasemekena imetoka maana
    utadhoofisha uaminifu kati yenu na huo unaweza kuwa mwanzo wa migogoro
    ktk mahusiano yenu.
  • Ukiwa bado huko uliko, tafuta rafiki yeyote pale Morogoro na
    mtambulishe kwa mchumba wako, kwa maswala kama hayo yaliyotokea
    ulitakiwa kumtuma rafiki yako afike kutoa msaada lakini pia kama sehemu
    ya kuhakiki ulilo ambiwa
Nadhani mengine watakushuri wengine

nimezipenda point zako za kuwasisitiza waache kuzini coz now adays hapa hofu ya Mungu haipo
 
Yeye yupo morogoro,mimi nipo bagamoyo nilimtembelea mwezi wa saba mwanzoni,nilikaa kwake siku kumi na mbili,baadaye nikarudi bagamoyo,ilipofika tarehe 20 mwezi wa nane alipiga simu na kunijulisha kuwa anamimba,huyu dada ni mfanyakazi wa serikali,nikamwambia nimefurahi sana nitalea mtoto wangu,baada ya kama wiki akapiga simu na kuniuliza je niwataarifu ndugu zangu?nikamwambia wajulishe tu kwa kuwa mimi nimeshajitambulisha kwao basi akapiga simu na kuwajulisha kinachoendelea,tarehe 31 mwezi wa nane alipiga simu angalieni akina dada sasa: dada.!mimi nimeona damu inatoka nimekwenda dukani nimepewa dawa za kuzuia kutoka damu,kaka:mimi nikamjibu kwa kuwa leo umechukua dawa nakuomba kesho asubuhi nenda hospitali iliukachekiwe vizuri,siku iliyofuata nikampigia simu nikauliza vipi unaendeleaje?dada akajibu kumbe zile dawa zimeongeza tatizo damu zinaendelea kutoka,nikamsisitiza lazima ufike hospitali baada ya siku mbili ndipo akafika hospital daktari akamwambia nakupa dawa za kukwangua tumbo mpaka naandika habari hii mimba haipo tena,wapendwa ninasiku mbili sijapata usingizi ninamaswali mengi ambayo sina majibu,naombeni ushauri na sio mizaha'jokes.
nenda moroogoro ujue hali ya mwenzio,inawezekana anakupima imani aone how serious ur with her au kweli amepata tatizo.ukifika mpeleke hosp madaktari watakwambia wat is wat!hapa tutabaki na speculations tu af we usiende ukajipunguzia mimaksi huko!
 
kwa upande fulani namuelewa mdada... Hakuwa na hakika juu ya penzi lako kwake hivo akaona bora akuambie ana mimba, kuhakikisha kuwa wamaanisha akaona bora akuulize kama awajulishe ndugu zake... That way hata ungekataa kungekuwa hakuna kilichoharibika, angebaki na maumivu ya roho (kama kweli kakupenda) na kuangalia mpango mwingine.

I bet hana mimba... Kwa taarifa kuwa una mpango wa kwenda kujitambulisha hapo anakuandaa kukwambia damu zimetoka na kaenda pharmacy (mimba ni kitu delicate sana, hata wauza maduka ya madawa waoga kutoa dawa kwa mja mzito bila mpangilio). Hivo jiandae kuambiwa mwanao ulietarajia kulea kachoropoka.

Naomba nikushauri haya tokana na mtazamo wangu;

  1. kama ni mwanamke wampenda kwa dhati na una hakika anakupenda pia hilo sioni kama ni tatizo na sababu ya kumuacha. Tokana na usanii mkubwa sana wa mapenzi wa sasa kwa wake na waume pia nadhani ni understandable yeye kukujaribu hivo (kikubwa ukiamua kuwa nae lazima mwonyeshe kukwazika).
  2. kakuambia kuwa ana mimba, then akakuuliza kama awaambie ndugu zake. Hio inaonesha yupo desperate kwa ajili ya ndoa, ni muhimu pia kuliangalia kwa undani kama anakufaa; isije ikawa anatafuta tu picha ya kusema ana mume alafu mwisho wa siku asitimize wajibu wake kama mke huko siku za mbele.

hata hivo sijaelewa kama huyo binti ni wa mda mrefu na kama hizo siku 12 ndio mara ya kwanza ama ni wapenzi wa kale, hayo pia yaweza kukusaidia katika maamuzi. Kila la kheri katika kutafuta suluhisho.
salute!:a s 465:
 
ninakuhakikishia hakuwa na mimba alikuwa anakupima imani,wewe ungekuwa mjanja ungemwambia niko njiani nakuja mara moja then ungesikia majibu yake ,theni mwambie dawa alizoandikiwa na docta ,karatasi za matibabu ,au faili ukifika moro mguukw a mguu mpaka hospitali aliyotibiwa uhakikishe usipuuzie usiweke sumu kichwani kuwa mwanaume kweli asikutanie kukudanganya ,then come and tell me kama sio uongo,mark my word ,huyo mwanamke ni mwongo tumia njia hizo utampata
 
sasa tukushauri nini?

wewe mwenyewe huna accurate infos....

kila kitu ni kusikia na kuambiwa
hujui hata which is which.....

labda tukushauri ununue vidonge vya usingizi ili ulale vizuri usiku

thats why i love mmu,hata kama ulikuwa utaki kucheka utacheka tu.
 
Back
Top Bottom