msichana huyu amenichosha,soma kwa makini.

Hakukuwa na mimba to start with! Nani alikuambia miscarriage inatibiwa na 'dawa ya kukwangua tumbo'? Mtumie tu hela huyo atapona, ukienda tena morogoro ukirudi kwako utaambiwa mimba ingine na stori itajirudia!
Ngoja nikalale mi nna mausingizi kama ya kulogewa![/QUOTE]

hahaha wewe una chekesha sana, eti usingizi kama wa kulogewa....
 
Unawaza nini sasa? JIPANGE UMTIE NYINGINE pitia karanga, pweza, prawns, mihogo ya kutafuna na asali. Hii ni kama ulutumia nguvu nyingi bila mafanikio kwa ile ya kwanza.
 
geresha hiyo,inawezekana vp mvua inyeshe bondeni halafu mafuriko yawe mlimani??
 
hapo cha kukunyima usingizi ni nini?au ndio mbegu zimeisha?oa kwanza,alaah
 
Nini cha Kusoma kwa makini? Amekuchosha nini? We Ndo watakiwa uwe mwelewa, Kama Mimba imetoka yeye Afanyaje?




Yeye yupo morogoro,mimi nipo bagamoyo nilimtembelea mwezi wa saba mwanzoni,nilikaa kwake siku kumi na mbili,baadaye nikarudi bagamoyo,ilipofika tarehe 20 mwezi wa nane alipiga simu na kunijulisha kuwa anamimba,huyu dada ni mfanyakazi wa serikali,nikamwambia nimefurahi sana nitalea mtoto wangu,baada ya kama wiki akapiga simu na kuniuliza je niwataarifu ndugu zangu?nikamwambia wajulishe tu kwa kuwa mimi nimeshajitambulisha kwao basi akapiga simu na kuwajulisha kinachoendelea,tarehe 31 mwezi wa nane alipiga simu angalieni akina dada sasa: dada.!mimi nimeona damu inatoka nimekwenda dukani nimepewa dawa za kuzuia kutoka damu,kaka:mimi nikamjibu kwa kuwa leo umechukua dawa nakuomba kesho asubuhi nenda hospitali iliukachekiwe vizuri,siku iliyofuata nikampigia simu nikauliza vipi unaendeleaje?dada akajibu kumbe zile dawa zimeongeza tatizo damu zinaendelea kutoka,nikamsisitiza lazima ufike hospitali baada ya siku mbili ndipo akafika hospital daktari akamwambia nakupa dawa za kukwangua tumbo mpaka naandika habari hii mimba haipo tena,wapendwa ninasiku mbili sijapata usingizi ninamaswali mengi ambayo sina majibu,naombeni ushauri na sio mizaha'jokes.
 
NIMEJIKUTA NACHEKA,MAANA HAPO MKUU UKAJUA UMEPATA MKE UBWEETE KWA TKT YA MIMBA,HADITHI YA CHENI BANDIA NA PESA BANDIA:flypig:
 
Hakuwa nayo huyo alikuwa anakupima imani

Muwahi ukampime UPT kabla wiki 2-3 hazijapita maana bado hcG levels zitakuwa hazijashuka bado, hivyo UPT itakuwa positive, kama ikiwa UPT negative ujuwe changa la macho hilo! Pole mkuu
 
Kwang naona wote hamjui nn mnafanya na mahusiano ya hvo mwisho wake daima ni kupotezeana muda pia kugeuka maadui. Guy, u cnt be serious eti kila ki2 uambiwe kwenye cmu harafu unablame anakuzingua.............. Just follow her physical & if possible fanya taratibu mchukue ukaishi naye Bagamoyo
 
Amepima upendo wako na kujiridhisha kuwa huwezi kumuacha kwa kigezo che kumpa mimba!Hongera mbona zoezi limekuwa rahisi kwako!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom