Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahhahah The Boss be my valentinesasa tukushauri nini?
wewe mwenyewe huna accurate infos....
kila kitu ni kusikia na kuambiwa
hujui hata which is which.....
labda tukushauri ununue vidonge vya usingizi ili ulale vizuri usiku
Hakukuwa na mimba to start with! Nani alikuambia miscarriage inatibiwa na 'dawa ya kukwangua tumbo'? Mtumie tu hela huyo atapona, ukienda tena morogoro ukirudi kwako utaambiwa mimba ingine na stori itajirudia!
Ngoja nikalale mi nna mausingizi kama ya kulogewa![/QUOTE]
hahaha wewe una chekesha sana, eti usingizi kama wa kulogewa....
Yeye yupo morogoro,mimi nipo bagamoyo nilimtembelea mwezi wa saba mwanzoni,nilikaa kwake siku kumi na mbili,baadaye nikarudi bagamoyo,ilipofika tarehe 20 mwezi wa nane alipiga simu na kunijulisha kuwa anamimba,huyu dada ni mfanyakazi wa serikali,nikamwambia nimefurahi sana nitalea mtoto wangu,baada ya kama wiki akapiga simu na kuniuliza je niwataarifu ndugu zangu?nikamwambia wajulishe tu kwa kuwa mimi nimeshajitambulisha kwao basi akapiga simu na kuwajulisha kinachoendelea,tarehe 31 mwezi wa nane alipiga simu angalieni akina dada sasa: dada.!mimi nimeona damu inatoka nimekwenda dukani nimepewa dawa za kuzuia kutoka damu,kaka:mimi nikamjibu kwa kuwa leo umechukua dawa nakuomba kesho asubuhi nenda hospitali iliukachekiwe vizuri,siku iliyofuata nikampigia simu nikauliza vipi unaendeleaje?dada akajibu kumbe zile dawa zimeongeza tatizo damu zinaendelea kutoka,nikamsisitiza lazima ufike hospitali baada ya siku mbili ndipo akafika hospital daktari akamwambia nakupa dawa za kukwangua tumbo mpaka naandika habari hii mimba haipo tena,wapendwa ninasiku mbili sijapata usingizi ninamaswali mengi ambayo sina majibu,naombeni ushauri na sio mizaha'jokes.
Hakuwa nayo huyo alikuwa anakupima imani
hakuwa nayo huyo alikuwa anakupima imani
hakuwa nayo huyo alikuwa anakupima imani