Mshtuko: Kumbe Mikoa ya Morogoro na Katavi kuna Wasukuma?

Mshtuko: Kumbe Mikoa ya Morogoro na Katavi kuna Wasukuma?

Kinuju

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2021
Posts
2,384
Reaction score
5,330
Huu mshituko nimeupata baada ya kuwa na project ya miezi 6 kwenye mikoa ya Morogoro na Katavi, kutokana na project hii nimekuja na mtazamo tofauti kabisa kuhusu kabila la wasukuma .
Mwanzoni nilijua wasukuma ni kabila la wavivu fulani waliojazana kanda ya ziwa tu kumbe siyo kweli kabisa. Nimegundua wasukuma aka akina Ngosha ni wachapakazi na wana umoja kupitiliza na wamejaa sehemu zote zenye fursa nchini!, nilipofika mkoa wa Morogoro kuanzia Ifakara hadi Malinyi madoni wenye maduka makubwa ni wasukuma na muda wote wanazungumza lugha ya Kisukuma tu.
Nilipoenda mkoa wa Katavi maeneo ya Mpimbwe kote huko madoni ni wasukuma wamekamata biashara zote kuanzia madukani hadi mashambani.
Nimegundua kuwachukia wasukuma ni kupoteza muda na kujitakia presha ya bure tu ,hamna namna utawashinda ,njia rahisi ni kuungana nao tu.
 
Huu mshituko nimeupata baada ya kuwa na project ya miezi 6 kwenye mikoa ya Morogoro na Katavi, kutokana na project hii nimekuja na mtazamo tofauti kabisa kuhusu kabila la wasukuma .
Mwanzoni nilijua wasukuma ni kabila la wavivu fulani waliojazana kanda ya ziwa tu kumbe siyo kweli kabisa. Nimegundua wasukuma aka akina Ngosha ni wachapakazi na wana umoja kupitiliza na wamejaa sehemu zote zenye fursa nchini!, nilipofika mkoa wa Morogoro kuanzia Ifakara hadi Malinyi madoni wenye maduka makubwa ni wasukuma na muda wote wanazungumza lugha ya Kisukuma tu.
Nilipoenda mkoa wa Katavi maeneo ya Mpimbwe kote huko madoni ni wasukuma wamekamata biashara zote kuanzia madukani hadi mashambani.
Nimegundua kuwachukia wasukuma ni kupoteza muda na kujitakia presha ya bure tu ,hamna namna utawashinda ,njia rahisi ni kuungana nao tu.
Nani tena anashindana na wasukuma?????
 
Watu hawaogopi ng'ombe hata wakiwa wengi kiasi gani. Wahindi sio zaidi ya asilimia 1 ya watanzania lakini ndio vinara wa uchumi na wanakandamiza weusi kama kawa. Hivyo wasukuma kwa wingi wao wasishangae wanakuwa ndio vibaraka wa watu flani nchi hii.
 
JamiiForums-1309757002.jpeg
 
Watu hawaogopi ng'ombe hata wakiwa wengi kiasi gani. Wahindi sio zaidi ya asilimia 1 ya watanzania lakini ndio vinara wa uchumi na wanakandamiza weusi kama kawa. Hivyo wasukuma kwa wingi wao wasishangae wanakuwa ndio vibaraka wa watu flani nchi hii.
Unajitafutia presha ya bure tu
 
Unajitafutia presha ya bure tu
Wangelikuwa ni wachagga ungekuta tayari sera za nchi zimebadilishwa kama Nyerere alivyohangaika 1967 na Azimio la Arusha na kupora mali za watu, akilenga akina mangi, kutaifisha mashule, 1977 kunyang'anya mikoa madaraka akilenga Kilimanjaro na kufunga vyama vyote vya ushirika akilenga KNCU. Watu wanatofautiana muulize JPM aliwaogopa wahindi au akina nani?
 
Wangelikuwa ni wachagga ungekuta tayari sera za nchi zimebadilishwa kama Nyerere alivyohangaika 1967 na Azimio la Arusha na kupora mali za watu, akilenga akina mangi, kutaifisha mashule, 1977 kunyang'anya mikoa madaraka akilenga Kilimanjaro na kufunga vyama vyote vya ushirika akilenga KNCU. Watu wanatofautiana muulize JPM aliwaogopa wahindi au akina nani?
Wachaga wanatokea Moshi ambayo ni ndogo sana itachukua miaka 100 kuwa jiji.
 
Wachaga wanatokea Moshi ambayo ni ndogo sana itachukua miaka 100 kuwa jiji.
Moshi kuwa jiji nalo ni moja ya mambo ambayo ccm haitafanya kwa kufuata woga uleule. Unajua Zanzibari kuna mikoa mitano ambayo hata ikiunganishwa yote haifikii ukubwa wa mkoa wa Kilimanjaro, lakini kwao ni mikoa kwasababu lazima wapendelewe kwa hali yao ilivyo.
 
Moshi kuwa jiji nalo ni moja ya mambo ambayo ccm haitafanya kwa kufuata woga uleule. Unajua Zanzibari kuna mikoa mitano ambayo hata ikiunganishwa yote haifikii ukubwa wa mkoa wa Kilimanjaro, lakini kwao ni mikoa kwasababu lazima wapendelewe kwa hali yao ilivyo.
Moshi imeongozwa na chadema kwa miaka 25
 
Back
Top Bottom