EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,090
For the past 2 weeks nilienda kijijini kwa kazi zangu za field, sasa nilikuwa na wengangu wawili ambapo tulifikia ki guest house fulani ambacho kwa nje kuna Bar ambayo nahisi ni kubwa kuliko zote hapo kijijini. Baada ya kukaa kwa muda mmoja wa wenzangu akaibuka na Bar Maid wa hiyo Bar so akawa amepata pumziko kwa siku kadhaa ambazo tulikuwa huko. Sasa kituko ni hiki,
Tuliporejea mjini siku moja akaniuliza "Hivi unafikiri ........................ (jina la gf wake) na .............................. (jina la yule Bar Maid) unafikiri ni nani bora kuliko mwenzake?
Dah mi nilistuka sana kwasababu nyingi tu lakini kubwa ni kwamba over milion reasons sikutegemea yule bwana afanye comparison hiyo hata kwa ku joke tu................... sasa mi nikajiuliza,
Alipewa nini na Bar Maid kiasi cha kuchizika hivyo!
Tuliporejea mjini siku moja akaniuliza "Hivi unafikiri ........................ (jina la gf wake) na .............................. (jina la yule Bar Maid) unafikiri ni nani bora kuliko mwenzake?
Dah mi nilistuka sana kwasababu nyingi tu lakini kubwa ni kwamba over milion reasons sikutegemea yule bwana afanye comparison hiyo hata kwa ku joke tu................... sasa mi nikajiuliza,
Alipewa nini na Bar Maid kiasi cha kuchizika hivyo!