Zuia Sayayi
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 841
- 133
Yule mshindi wa shindano la Bongo star search (BSS) mwaka 2009, PASCAL CASSIANO
kwa sasa Account yake imeisha na kubakiza hela ya kitabu tu (kama Tsh. 3000), watu wa karibu wa msanii huyo wamedai kuwa dogo huyo zile pesa alizopata zimemponza coz jamaa alipotoka Dar na kuja kwao MAGU, Alifikia hoteli moja inaiTwa TINSELA HOTEL, cha ajabu Mama yake mzazi alipataka kwenda kumsalimia pale hotelini yule Mama alizuiliwa na kuambiwa hawezi kumuona Super star, kwa muda huo na ndipo mama huyo akaamua kurudi nyumbani mikono nyuma
(b) huyu dogo alipo kuja hapa magu aliingia na mkwala wa kununua Pikipiki mbili za bodaboda(SANLG),
(c)alikuwa akishinda na kuzurula kwenye Tax (ya kukodi)
(d)mkewe alikuwa amejifungua(mtoto wa kike), but alipomfata baba watoto wake Alimkana mkewe na kumtishia maisha na ndipo huyu mkewe aliamua kwenda Polis na kusababisha huyu dogo (pascal) kukamatwa na kupelekwa ktk ki2o cha polisi cha hapa Magu
(e)alikuwa akitaka kuchukua hela kwenye ATM, alikodi Tax na kwenda Mwanza mjini kutoa (na wkt hata ATM na pale Magu zipo )
>kwa wasio jua [ MAGU ipo km 60 kutoka Mwanza mjini]
(f)Alizimika kwa penzi la Dada mmoja wa saluni ya hapa MAGU
Na walikuwa wakienda Bar na huyu mdada walikuwa wakitumia mpaka LAKI MBILI (kula+ kulala) per day
kwa sasa ameuza NYUMBA yake aliyokuwa amenunua baada ya kutoka Bss (Tsh.10ml)
mpaka hii habari inaandikwa Magu hayupo ameikimbia familia yake (mkewe na mtoto),
---the mwisho-
kwa sasa Account yake imeisha na kubakiza hela ya kitabu tu (kama Tsh. 3000), watu wa karibu wa msanii huyo wamedai kuwa dogo huyo zile pesa alizopata zimemponza coz jamaa alipotoka Dar na kuja kwao MAGU, Alifikia hoteli moja inaiTwa TINSELA HOTEL, cha ajabu Mama yake mzazi alipataka kwenda kumsalimia pale hotelini yule Mama alizuiliwa na kuambiwa hawezi kumuona Super star, kwa muda huo na ndipo mama huyo akaamua kurudi nyumbani mikono nyuma
(b) huyu dogo alipo kuja hapa magu aliingia na mkwala wa kununua Pikipiki mbili za bodaboda(SANLG),
(c)alikuwa akishinda na kuzurula kwenye Tax (ya kukodi)
(d)mkewe alikuwa amejifungua(mtoto wa kike), but alipomfata baba watoto wake Alimkana mkewe na kumtishia maisha na ndipo huyu mkewe aliamua kwenda Polis na kusababisha huyu dogo (pascal) kukamatwa na kupelekwa ktk ki2o cha polisi cha hapa Magu
(e)alikuwa akitaka kuchukua hela kwenye ATM, alikodi Tax na kwenda Mwanza mjini kutoa (na wkt hata ATM na pale Magu zipo )
>kwa wasio jua [ MAGU ipo km 60 kutoka Mwanza mjini]
(f)Alizimika kwa penzi la Dada mmoja wa saluni ya hapa MAGU
Na walikuwa wakienda Bar na huyu mdada walikuwa wakitumia mpaka LAKI MBILI (kula+ kulala) per day
kwa sasa ameuza NYUMBA yake aliyokuwa amenunua baada ya kutoka Bss (Tsh.10ml)
mpaka hii habari inaandikwa Magu hayupo ameikimbia familia yake (mkewe na mtoto),
---the mwisho-