Mshindi wa BBA Idris

Mshindi wa BBA Idris

Watu wana hela hawana mawazo. Watu hawana hela wana mawazo lukuki.

Nipe milion 50 baada ya miaka miwili nikurudishie milion 500.
 
Alikosea kukachukua mawazo ya watu wanafikra finyu kama yeye...

Investment zipo kibao ni kutuliza akili na Kuwa na fikra zinazovuka mipaka zaidi...
 
Hela ipo mfukoni kwa mwenzako,wewe waipangia matumizi
 
Mnamo tarehe 11.12.2014 Big Brother Africa ilipata mshindi mpya wa season 8, na mshindi hiyo alitokea Tanzania akijulikana kwa jina Idris Sultan. Mshindi alijishindia $ 300,000 takribani Million 500 za kibongo..

Tangia ametoka kwenye nyumba wengi walisubiri waone ni kipi atakifanya na hiyo pesa.. Lakini kijana kajibu mapigo, kaja na clothing line business.. Hii idea yake imebishangaza sana na ikabidi nijiulize maswali kadhaa;

1. Is his idea viable?? Yaani pamoja na kupata mkwanja mrefu hivo ameishia kufikiri that low....

2. Kuna clothing line (brand) yeyote ya Africa inayojulikana na yenye nguvu sokoni??

3. Mwaka jana mshiriki mwenzake Army Nando alivyotolewa pia alianzisha ya kwake, naweza kusema Nando alikuwa anapendwa na alikua na fans wengi kuliko Idris Lakini hizo T-shirt aliishia kuvaa mwenyewe na hiyo biashara yake haipo tena..

Watanzania lazima tujifunze kuwa creative na tufanye research kabla ya kuanzisha biashara yoyote. Asione ana fans wengi huko kwenye mitandao ya kijamii akajua ashapata uhakika wa soko lake.


Wadau mbalimbali walimshauri alivyopata hizo pesa arudi kwao Arusha au atafute mji wowote unaukuwa kiuchumi kama Mwanza, Mtwara, Dodoma, Mbeya akafanye investment huko. Lakini naona kaamua kukomaa na jiji... Kazi kwake

I think he made a good choice ukizingatia kwamba tayari ana image kubwa na hivyo he can be a good brand, mambo ya clothing ni branding zaidi na ubunifu

Kuhusu ushauri wako wa awe innovative zaidi, je ulikua na idea gani?? na hizo investment ni zipi unazorefer?
 
Pesa hiyo angejenga uswahilini
nyumba za kutosha za hali ya chini.
Kila mwisho wa mwezi angekuwa na uhakika
wa kuingiza senti.
Na kwa baadae angekaa kibarazani kajifunga
msuli anakula kichwa cha samaki mkavu
ghahwa, kashata na tende.
''Life is criminal''


Nzalendo umetisha kukaa kibarazani na msuli haha haya bana
 
Ndg. Idris seems ana akili ya maisha tofauti na mastaa wengi wa Bongo (Diamond excluded). Mbali na hivyo akiamua kula/kuto.mbea hela yote ni Sawa tu,hakuna kesi

Hala hala tuuu asijiingize kwenye makundi ya lete tuu ya kina Wema, ataishiwa kabsaaaa
Cha msingi aendelee na girlfriend wake aachane na kina chuma ulete Wema Sepetu
 
Kuna watu hapa wanasema tumwache pesa ni zake.. Lakini wanapofuliaga wao ndio wa kwanza kuandika humu kwamba alitumia pesa vibaya. Heri sie tunaomkosoa wakati anajijenga kuliko nyie mnaosubiri aishiwe muanze kumsema..

Najua atapita hapa, au ataambiwa kwamba kule kwa great thinkers wanakujadili na atakuja mbio.. Ushauri mdogo aachane na kina Wema sijui Lulu, Ommy Dimpoz afanye vitu vya msingi. Kuna wakati alitweet Mo kamwita ofisini kwake wakaongea, I was like, yes the young boy is on the right truck maana hao ndio watu anaotakiwa awe karibu nao kwa kipindi hiki anatafuta cha kufanya na hiyo pesa yake lakini hii ya kushinda na kina Wema sijui Hamisa Mabeto hatofika popote.. Hata Le Mutuz anasemaga ndege wafananao huruka pamoja
 
Alisema atafika Hollywood kabla ya miaka mitatu.. Lakini cha kushangaza kawaponda Bongo Movie na kasema hayuko tayari kufanya nao kazi kwasababu kazi zao hazieleweki.. Nilifiki angetumia ujuzi aliofundishwa kule ndani kuwatengeneza bongo movie pamoja na kuinua sanaa yetu.. Sasa sujui atafikaje huko Hollywood
Bongo movie kweli hazieleweki hapo namuunga mkono.
 
kila mtu ana matumizi yake kwenye hela yake...kama ningekuwa mm ningeoa wake watatu kwa mpigo kama Anko Ngasa
 
500m unafikiri atapata chumba na sebule ngapi?! Itamchukua miaka mingi sana kurejesha hiyo pesa.
Mimi naona yuko sahihi, sidhani kama mayai yake yote ameyaweka kwenye kapu moja.
si chumba na sebule tu.
Fremu pia zitahusika
sehem tofauti tofauti uswahilini
''kila mwaka ardhi(nyumba) hupanda thamani
kwa pesa hiyo atamiliki zaidi ya nyumba 20 za hali ya chini.

 
Pesa ya kwake muacheni,nyie nani anawapangia matumiz? Acheni hizo tafuteni zenu mtumie mnavyotaka,Acheni kimbelembele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom