Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,713
- Thread starter
- #41
Bongo movie kweli hazieleweki hapo namuunga mkono.
Ajaribu yeye kufanya inayoeleweka ili tumpime..
Bongo movie kweli hazieleweki hapo namuunga mkono.
si chumba na sebule tu.
Fremu pia zitahusika
sehem tofauti tofauti uswahilini
''kila mwaka ardhi(nyumba) hupanda thamani
kwa pesa hiyo atamiliki zaidi ya nyumba 20 za hali ya chini.
Pesa hiyo angejenga uswahilini
nyumba za kutosha za hali ya chini.
Kila mwisho wa mwezi angekuwa na uhakika
wa kuingiza senti.
Na kwa baadae angekaa kibarazani kajifunga
msuli anakula kichwa cha samaki mkavu
ghahwa, kashata na tende.
''Life is criminal''
Ajaribu yeye kufanya inayoeleweka ili tumpime..
Watu wana hela hawana mawazo. Watu hawana hela wana mawazo lukuki.
Nipe milion 50 baada ya miaka miwili nikurudishie milion 500.
nilimsikia akijinadi kuwa anategemea kuwa billionea kijana siku si nyingi na kwamba atafungua makampuni kibao,we wish him all the best,ingawa easy said than done.
Yeye kanunua bangalow kule Africana na kukimbilia kupost kwenye mitandao.. Wahindi wana multi-million deals hapa mjini lakini yupo National Housing. Ukimwona muhindi kajenga nyumba au kanunua aishi ujue huyo ana billions nyingi kwenye account yake..
Kama alikua anataka kukaa sehemu nzuri na usafiri mzuri million 50 pekee ingemtosha.. 21 years old kukaa kwenye jumba kama lile tena huna familia ni matumizi ya kipumbavu
Acha wivu wa kike
Kama uwezo anao kuna tatizo gain? Pesa umempa wewe!?
hana wa kufanya naye bongo!
ni ukweli haupingiki muvi za kibongo ni takataka, kama tu za nigeria.
Nyumba ya 20M? Hebu toa mfano wa mitaa tuone bei za kununua kiwanja mitaa hiyo. Fremu za biashara uswahilini mpaka elfu 60, utarudisha lini pesa yako? hapo unahifadhi pesa, hufanyi biashara. Bora achukue 100M akanunue eka 200 za miti Iringa, salio aendelee na biashara zake za rejareja kuzungusha mashati anazoamini zitamlipa, mwisho wa siku akihitaji pesa zaidi anayo dhamana, miti ina faida kubwa sana. kila mtu anayo mawazo yake.
nalo wazo zuri pia,nyumba ya 20m? Hebu toa mfano wa mitaa tuone bei za kununua kiwanja mitaa hiyo. Fremu za biashara uswahilini mpaka elfu 60, utarudisha lini pesa yako? Hapo unahifadhi pesa, hufanyi biashara. Bora achukue 100m akanunue eka 200 za miti iringa, salio aendelee na biashara zake za rejareja kuzungusha mashati anazoamini zitamlipa, mwisho wa siku akihitaji pesa zaidi anayo dhamana, miti ina faida kubwa sana. Kila mtu anayo mawazo yake.
Kuna siku tulikuwa na Dr. Ngowi, mchumi mashuhuri akawa anaongelea kuhusu vijana na economic investment, tuliongea sana mwishoni akasema nnaweza kumbadilisha mshindi wa BBA kutoka milionea wa milion 450 kuwa bilionea wa bilion 450, tukamuuliza kivipi? Akasema kwenye hiyo milioni 500 ye atam charge milioni 50, kwa ushauri na ufuatiliaji hizo nyinginge atamuelekeza nini cha kufanya...mwisho akasema ni kweli, atafute washauri wazuri before its too late,
Alisema atafika Hollywood kabla ya miaka mitatu.. Lakini cha kushangaza kawaponda Bongo Movie na kasema hayuko tayari kufanya nao kazi kwasababu kazi zao hazieleweki.. Nilifiki angetumia ujuzi aliofundishwa kule ndani kuwatengeneza bongo movie pamoja na kuinua sanaa yetu.. Sasa sujui atafikaje huko Hollywood
join date : 2nd november 2014
posts : 98
rep power : 338
likes received18
likes given0
Kuna siku tulikuwa na Dr. Ngowi, mchumi mashuhuri akawa anaongelea kuhusu vijana na economic investment, tuliongea sana mwishoni akasema nnaweza kumbadilisha mshindi wa BBA kutoka milionea wa milion 450 kuwa bilionea wa bilion 450, tukamuuliza kivipi? Akasema kwenye hiyo milioni 500 ye atam charge milioni 50, kwa ushauri na ufuatiliaji hizo nyinginge atamuelekeza nini cha kufanya...mwisho akasema ni kweli, atafute washauri wazuri before its too late,
Tatizo watanzania hatujui kuwa pesa inanyauka/inaisha.Hizo hela angezifanyia cha maana, miaka kadhaa ijayo angekua billionaire kijana
Join Date : 2nd November 2014
Posts : 98
Rep Power : 338
Likes Received18
Likes Given0