Mshikaji vs Dem vs Baba

Mshikaji vs Dem vs Baba

mkurugenzi1

Senior Member
Joined
Mar 22, 2009
Posts
122
Reaction score
28
Mshikaji mmoja alikuwa amekaa na baba yake nyumbani, mara akamuöna dem wake amekuja kumtembelea.

Bahati mbaya babake alikuwa mkali sana,wakataka kumficha mazungumzo ambayo yalikuwa hivi:-

MSHIKAJI:"Umekuja kuchukua kitabu cha SPEAK ENGLISH MY FATHER DOESNT KNOW."

DEM:"Yes,na kile cha WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU."

MSHIKAJI:"Dah...hicho sina labda cha WAIT FOR ME UNDER THE MANGO TREE."

DEM:"Sawa,usisahau cha I GIVE YOU 5MINUTES."

MSHIKAJI:"Pouwah...nitakupa na cha I WONT LET YOU DOWN."

BABA:"Mbona vingi,atamaliza kuvisoma kweli?"

MSHIKAJI:"Yule dada ana akili sana,ye ndio anatuongoza darasani."

BABA:"Aha...basi mpe na kile cha I HAVE UNDERSTOOD EVERYTHING AM NOT THAT
STUPID!:
 
cheaea baba digital weweeee......ha ha haaa
 
Back
Top Bottom