- Thread starter
- #41
Tumsahidie vipi wakati hatumuhoni wala kumjuha?
Kwanza kabisa hakuna secretary wako hapa wa kumpa mtu ujumbe wake kutoka kwako, kwa hiyo umeanza vibaya.Kama televisheni unaijua tafuta contacts zao, waanikie au wapigie simu.
Halafu wewe mwenyewe muandishi uko incoherent, mara tumsaidie mara tatizo lake si yeye, kama tatizo lake si yeye tumsaidie nini sasa?
[/QUOTE]
Unajua si lazima uandike ili uonekane umeandika!!!! Kama huna cha kuchangia ni busara zaidi kukaa kimya kuliko kuongea upupu!!! Kwanza kabla hujaandika lazima uelewe hoja ya msingi-kv busara zipo mfukoni umeshindwa kuelewa nilivyosema si yeye manake ni nini-hapa si pa kufundishana lugha, usahii ni kukaa kimya kama huna cha kuandika
Halafu umejaza vitu usivyovijua, hujui kama anatangaza kwenye redio, hujui hata jina lake, ebo, sasa wewe unakuja na serious accusations hata mtu mwenyewe huna taarifa zake za kutosha?
Ona sasa, ndo matatizo ya kurukia mada na kuandika kabla ya kusoma!!! Nimesema anatangaza Mlimani Tv, but am not sure kama anatangaza na Mlimani Radio-so tatizo lipo wapi hapo?!hiyo ina athari gani katika hoja ya msingi?!!!
Halafu vipi kama akikwambia kazi za utangazaji zinawataka watangazaji wafuate certain conventions, kuanzia dress fulani kwa vipindi fulani mpaka poses.Tunaona watangazaji wa TV mpaka viwanja wanavyostrike poses na kuzungusha mibichwa from angle to angle, there is no originality in that, that shyt is scripted.Ukitaka kufanya kazi yenye originality nenda kawe actor, si mtangazaji wa TV, huyu hayuko pale kuwa original, if anything mtu anaweza kusema watangazaji wa habari wako rather bland and conventional, unles uniambie kuna kitu zaidi katika kipindi chake zaidi ya a typical anchorman.
Sikujua kwamba na wewe ni miongoni mwa wagumu wa kuelewa humu jamvini!!! sasa suala kwamba hata mamtoni wanafanya hivihivi ndo nini?! kwahiyo as far as mtoni wanafanya hivyo hivyo then approved?!
Hakafu hujatuonyesha nani kamuiga nani, na kwa nini unafikiri hivyo, umejaribu kutuonyesha tu kwamba watangazaji wawili wanafanya kitu kimoja.
Hii hapo inathibitisha kwamba ulidandia mada!!!! Kama usingedandia ungeona nimesema nani anamuiga nani!!!!
Wakiniambia nafanana na Will Smith, nawaambia hapana, Will Smith anafanana na mimi.
Ni kweli huelewi au ni hobby yako kumwaga upupu? Nani kasema Nurdini amefanana na Marin Hassani? Umeanza lini kujifunza kiswahili? tangu lini mtu akisema Mr X anamuiga Mr Y, tafsiri sahii ni kwamba Mr. X amefanana na Mr Y?!!!!!![/QUOTE]