haa!tafaadhali bwana niombe radhi
Kuwa mwanaharakati
Piga picha ama igiza muvi ya ngono
Kama uko shule andika matusi kwenye necta
Jaribu kwenda kumhonga mwnykt wa kamati yoyote ya bunge
Sema wewe ni mdogo/kaka/dada wa msanii diamond afu nenda kwa shigongo na ukomae kabisa hata kama diamond akikanusha(sema mmeshare baba ila mama tofauti-mama yako yuko kijijini)
aloo...mrembo kama huyu unamuita kaka?kaka heshimu mawazo ya wengine
sitaki umaarufu jina nataka umaarufu pia na pesa niwe nayo