Mshangao! Nimetongozwa na mwanamke mtaani

Mshangao! Nimetongozwa na mwanamke mtaani

Kusini pride

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,762
Reaction score
4,071
Wanawake wa siku hizi bado mnaendelea kunishangaza sana aisee nashindwa kuwaelewa inakuaje kabisa mwanamke bila haya au hiyana unanisimamisha mimi na kunitongoza? Aisee kwanza nilibaki nimeduwaa sana aisee na nikabaki kinywa wazi kwa mshangao aisee

Wanawake wa siku hizi wanapataje ujasiri wa kutongoza mwanaume? Kwamba huyu mwanamke alisubiri kutongozwa na mimi baada ya kuniona simtongozi ndipo akaamua kunichana live? Nimeshindwa kuelewa Aisee
 
Wanawake wa siku hizi bado mnaendelea kunishangaza sana aisee nashindwa kuwaelewa inakuaje kabisa mwanamke bila haya au hiyana unanisimamisha mimi na kunitongoza? Aisee kwanza nilibaki nimeduwaa sana aisee na nikabaki kinywa wazi kwa mshangao aisee

Wanawake wa siku hizi wanapataje ujasiri wa kutongoza mwanaume? Kwamba huyu mwanamke alisubiri kutongozwa na mimi baada ya kuniona simtongozi ndipo akaamua kunichana live? Nimeshindwa kuelewa Aisee
Mwambie no Reform no Ellection, Simple
 
Wanawake wa siku hizi bado mnaendelea kunishangaza sana aisee nashindwa kuwaelewa inakuaje kabisa mwanamke bila haya au hiyana unanisimamisha mimi na kunitongoza? Aisee kwanza nilibaki nimeduwaa sana aisee na nikabaki kinywa wazi kwa mshangao aisee

Wanawake wa siku hizi wanapataje ujasiri wa kutongoza mwanaume? Kwamba huyu mwanamke alisubiri kutongozwa na mimi baada ya kuniona simtongozi ndipo akaamua kunichana live? Nimeshindwa kuelewa Aisee
Hata mimi nakushangaa aisee! Au ndo mara yako ya kwanza kupigwa swagger na mwanamke? Mbona siku hizi ishakua kawaida kuanzia watoto wa 2000 mpaka mishangazi wana huo ujasiri miaka hii...
 
Kipindi nasoma secondary nilikuwa natongozwa sana na mademu haswa wa mtaani,ilifika hatua mpaka muuza kiosk fulani nikawa nakunywa soda bure.

Kanisani,niliwahi kutongozwa na mtu mzima,umri wa mzazi

Kipindi nakula gambe barmaid wamenitaka Sana kiasi cha kuwa nabadilisha bar mara Kwa mara,

Mwanamke akikuelewa Hana haya anafunguka vizuri kabisa

Kigezo si mitishamba wala dawa ni asili yaani nature,namaanisha handsome boys
 
Kuwa na fikra za kizungu haimaanishi tutakuwa tumeuendea usasa, tukubali tamaduni zetu Mwanamke hatongozi ila anaweka urahisi wa yeye kutongozwa

Kuwa na fikra za kizungu haimaanishi tutakuwa tumeuendea usasa, tukubali tamaduni zetu Mwanamke hatongozi ila anaweka urahisi wa yeye kutongozwa
Hapa sizungumzii uzungu nazungumzia hisia Kwa binadam hata mwanamke anahaki ya kupenda ni jambo la kawaida au ni Ile tumezoea mwanaume ndiye anayeanza ndo maana wengine mkitongoza mnakataliwa sababu mtu Hana hisia na wewe
 
Wanawake wa siku hizi bado mnaendelea kunishangaza sana aisee nashindwa kuwaelewa inakuaje kabisa mwanamke bila haya au hiyana unanisimamisha mimi na kunitongoza? Aisee kwanza nilibaki nimeduwaa sana aisee na nikabaki kinywa wazi kwa mshangao aisee

Wanawake wa siku hizi wanapataje ujasiri wa kutongoza mwanaume? Kwamba huyu mwanamke alisubiri kutongozwa na mimi baada ya kuniona simtongozi ndipo akaamua kunichana live? Nimeshindwa kuelewa Aisee
Ninachojuw mwanamke anaruhisiwa kumtongoz mwanaume amuoe kwa kuomba.sio kuwa na mahusiano ni jambo la kushangaza
 
Yani leo CCm kila mada za mapenzi zitaletwa.kukwepa gwajima
 
Basi sawa, wanakuja umeshawaambia wewe ni handsome, andaa pumzi na hela kijana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom