jamani,hahahahaahUlishamuahidi kimada wako mnapokea leo siyo? Sasa unahaha
jamani,hahahahaahUlishamuahidi kimada wako mnapokea leo siyo? Sasa unahaha
Leo utawezeshwa tu mkuu usihofuUtapiga kazi bila motisha
Jifunze kuandika ndo uje tena
Mkuu mimi tarehe hizi zikifika uwa napotea hewani. Sipatikani kokote.Nikiwaza kale ka 15% dah sitamani masihara
Mkuu nadhani hadi tarehe 25. Mwezi uliopita zilitoka tarehe 22. Jana nimecheki ATM nikakuta hola.Jamani tarehe zetu ndio hizi ....
Leo mambo yatakuwa poa, JPM hataki masihara kwenye issue za wafanyakaziMambo bado nimecheki kwa nmb mobile
Ushauri wako hautekelezeki. Hivi take home ya laki 3 hadi 5 utaibajeti vipi uitumie kwa wiki zaidi ya 6?Inatia huruma sana jinsi wafanyakazi wa nchi hii wanavyoishi kwa maisha ya mkononi-kinywani. Kwanini mtu asijibane aishi walau miezi mitatu kwa mshahara wa miezi miwili? Hii itakusaidia kuishi na mshahara wa mwezi juzi wakati huo wa mwezi uliopita upo umetulia kwenye account. Huondoa pressure za delay na kuleta utulivu wa akili. Mimi binafsi wakati ni mwajiriwa nilijifunza hiyo kitu na ilinisaidia sana kabla sijajiajiri mwenyewe.
Now Salary Out Mda Hu Kama Vp Chek Na Mobil Bank UjiridhisheJamani tarehe zetu ndio hizi ....
Umetoka wa sekta ipi? Au wewe wa wapi?Tayari