Mishahara ikitoka haitoki idara zote mkuu, unaweza kusikia Leo walimu wamepata mshahara lakini sehemu kama jeshini mshahara ukawa haujatoka, mshahara hautoki kwa kila idara ndani ya Siku mojaMishahara ishatoka tangu leo asubuhi saa 4, lakini nyumbx hawajui chochote lakini wanalazimisha kukizungumzia - check wanavyokanyagana
Ila mkuu umeongea point,mimi ningeshakuwa hata DED mahali au hata mkuu wa idara,tatizo ukamanda unaniponza.Kuna mbunge aliwahi kuniambia maneno kama yakokifinga kuna ongezeko lolote?
OKW BOBAN SUNZU njoo ChamaDola alias ChamaKubwa ili usahau hizoo petty debts!
We endekeza Ukamanda utaishia kupanua kinywa tu huku freeman Aikaeli Mbowe akiendelea kutumbua ruzuku ya chama!
Mwanaomayu mbona Mkaruka kasema shimo lishatema?
Hii dawa ya maishaInatia huruma sana jinsi wafanyakazi wa nchi hii wanavyoishi kwa maisha ya mkononi-kinywani. Kwanini mtu asijibane aishi walau miezi mitatu kwa mshahara wa miezi miwili? Hii itakusaidia kuishi na mshahara wa mwezi juzi wakati huo wa mwezi uliopita upo umetulia kwenye account. Huondoa pressure za delay na kuleta utulivu wa akili. Mimi binafsi wakati ni mwajiriwa nilijifunza hiyo kitu na ilinisaidia sana kabla sijajiajiri mwenyewe.
UKITAKA UTAJIRI JIAJIRIInatia huruma sana jinsi wafanyakazi wa nchi hii wanavyoishi kwa maisha ya mkononi-kinywani. Kwanini mtu asijibane aishi walau miezi mitatu kwa mshahara wa miezi miwili? Hii itakusaidia kuishi na mshahara wa mwezi juzi wakati huo wa mwezi uliopita upo umetulia kwenye account. Huondoa pressure za delay na kuleta utulivu wa akili. Mimi binafsi wakati ni mwajiriwa nilijifunza hiyo kitu na ilinisaidia sana kabla sijajiajiri mwenyewe.
Mkuu acha tu hali ngumu hatariWalinipe laki 5 yangu nilipe madeni,nimechoka kuwazimia simu wadeni
Hivi ni kwanini nguruwepori na nyumbu hawapendani??Mishahara ishatoka tangu leo asubuhi saa 4, lakini nyumbx hawajui chochote lakini wanalazimisha kukizungumzia - check wanavyokanyagana
Mapato ya Mwezi Aprili yanetangazwaJamani tarehe zetu ndio hizi ....
Mshahara au MASIHARA?Jamani tarehe zetu ndio hizi ....
Unamu aknowledge Msengerema yuleWe badala ya kufanya kazi unawaza tu mshahara? Ndio maana Makonda kasema wafanyakazi kama nyie angewatia mboko!