Mtu anawaza jasho lake wewe unawaza vimada ndo maana mnaiba rambirambi. Kenge wee.Ulishamuahidi kimada wako mnapokea leo siyo? Sasa unahaha
Umelogwa wewe siyo bure!Mtu anawaza jasho lake wewe unawaza vimada ndo maana mnaiba rambirambi. Kenge wee.
Jifunze kuandika ndo uje tenaUmelogwa wewe siyo bure!
Samahani mkuu Dab sijaelewa umekusudi kumtaja Daud Albeti Bashite?tulia ndio nimetuma cheque na majina (Payroll) yalohakikiwa hakuna jina fake zaid ya DAB
Wewe lazima utakuwa mwalimu, vipi lakin unatrekeleza jukumu lako la kufundisha watoto wetu kikamilifu?? Sio kuandalia tu na kuazimi halafu darasan unaingia ukijisikia halafu speed 240 kmph kuja kudai mshahara huku .Jamani tarehe zetu ndio hizi ....
Unajua watu hawajui kuwa mtumish anaikopesha serikali sababu analipwa mshahara wake baada ya kazi ya mwezi mzima kwa mkopo.Mtu anawaza jasho lake wewe unawaza vimada ndo maana mnaiba rambirambi. Kenge wee.
asubuh tu Ndio kiref chakeSamahani mkuu Dab sijaelewa umekusudi kumtaja Daud Albeti Bashite?
exactly.mateSamahani mkuu Dab sijaelewa umekusudi kumtaja Daud Albeti Bashite?
Hakuna ongezeko mkuu hadi bajeti ipitekifinga kuna ongezeko lolote?
OKW BOBAN SUNZU njoo ChamaDola alias ChamaKubwa ili usahau hizoo petty debts!
We endekeza Ukamanda utaishia kupanua kinywa tu huku freeman Aikaeli Mbowe akiendelea kutumbua ruzuku ya chama!
Mwanaomayu mbona Mkaruka kasema shimo lishatema?
Kwani kuna ubaya mtu kudai haki yake? Wewe ni nani hadi ukahoji majukumu yake? Je wewe ni muajiri? Walio muajiri wanajua utendaji wake ndio maana wakamkabidhi majukumu, acha kihele heleWewe lazima utakuwa mwalimu, vipi lakin unatrekeleza jukumu lako la kufundisha watoto wetu kikamilifu?? Sio kuandalia tu na kuazimi halafu darasan unaingia ukijisikia halafu speed 240 kmph kuja kudai mshahara huku .
Kwani humu kuna mwajili wako....Jamani tarehe zetu ndio hizi ....
Jihadhari na Bashite, kasema anaweza kuwachapa sticksJamani tarehe zetu ndio hizi ....
Tulia kaka nadhani leo mtawekewa, JPM anawathamini sana wafanyakazi, piga kazi mkuu usiwe na hofu.Jpm mbona huu ni ubaba ishaji mzee ulituzoeza 22/ leo vp mana ukitupitiliza unatuumiza mzee
Tulia kaka nadhani leo mtawekewa, JPM anawathamini sana wafanyakazi, piga kazi mkuu usiwe na hofu.
aisee njaa kaliTulia kaka nadhani leo mtawekewa, JPM anawathamini sana wafanyakazi, piga kazi mkuu usiwe na hofu.