Jamani nimeweka kidole tarehe 10/8/2026 paka leo tarehe 18 sijafanikiwa kupata hela zangu jamani
Kwani inachukuwa siku ngapi nssf? jamani familia zetu zitakufa njaa mke na mtoto watakula nini Sina kipato naitegemea hiyo ndio ininyanyue tena
Naombeni msaada hela inachukuwa siku ngapi au kuna mtu aliyeweka kidole mwezi huu wa nane na tayari ameshapata mafao yake?
Kwani inachukuwa siku ngapi nssf? jamani familia zetu zitakufa njaa mke na mtoto watakula nini Sina kipato naitegemea hiyo ndio ininyanyue tena
Naombeni msaada hela inachukuwa siku ngapi au kuna mtu aliyeweka kidole mwezi huu wa nane na tayari ameshapata mafao yake?