NBCAcha uongo mkuu
NBCAcha uongo mkuu
Hivi mna vyama vya wafanyikazi?Kwa style hii waajiriwa tutaburuzwa miaka yote
Inasemaje mkuumi nimepokea msg leo
1.Hivi wote tukiuza sabuni na sukari nani atanunu?yani mwezi hata ujaisha ebu acheni izo bhana msipende tegemea mshara sana muwe bac na vibiashara vidogo vidogo...
tetete eeeeee, mi mishara hata haikutaniMtaua watu kwa njaa maana siyo wote wanapata posho. Kwa kuwa mwezi uliopita mshahara ulitoka tar 21 mpaka leo ni tar 34. Kuna tetesi kuwa mshahara mpaka tar 40.
Hapa Ndio Internet Banking Wanatengeneza Pesa, Wafanyakazi Laki 5, Say Laki 3 Tunatumia Internet Banking, Kuangalia Salio Sh 500, Ukiangalia Mara 2 Kwa Siku Kwa Siku 3
Hesabu Inakuja Hivi
300, 000 X 500 X 2 X Siku 2=600, 000, 000/=
Biashara Gani Unatengeneza 600ml Kwa Siku 2.Tuwe Wapole
Dah afadhali
Ndo ukome kutegemea mshahara.Tayari nini? Wakubwa huongea yenye uhakika.
Hawaongei ongei tu.