Mshahara wa mwezi May vipi watumishi?

Kwa style hii waajiriwa tutaburuzwa miaka yote
Hivi mna vyama vya wafanyikazi?
Mnakatwa ada ya vyama kwenye mshahara?
Vyama vya wafanyikazi, vina kazi ipi maana naona malalamiko mitandaoni tu
 
Mtaua watu kwa njaa maana siyo wote wanapata posho. Kwa kuwa mwezi uliopita mshahara ulitoka tar 21 mpaka leo ni tar 34. Kuna tetesi kuwa mshahara mpaka tar 40.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Hapa Ndio Internet Banking Wanatengeneza Pesa, Wafanyakazi Laki 5, Say Laki 3 Tunatumia Internet Banking, Kuangalia Salio Sh 500, Ukiangalia Mara 2 Kwa Siku Kwa Siku 3
Hesabu Inakuja Hivi
300, 000 X 500 X 2 X Siku 2=600, 000, 000/=

Biashara Gani Unatengeneza 600ml Kwa Siku 2.Tuwe Wapole
 
Mtaua watu kwa njaa maana siyo wote wanapata posho. Kwa kuwa mwezi uliopita mshahara ulitoka tar 21 mpaka leo ni tar 34. Kuna tetesi kuwa mshahara mpaka tar 40.
tetete eeeeee, mi mishara hata haikutani
 
Hapa Ndio Internet Banking Wanatengeneza Pesa, Wafanyakazi Laki 5, Say Laki 3 Tunatumia Internet Banking, Kuangalia Salio Sh 500, Ukiangalia Mara 2 Kwa Siku Kwa Siku 3
Hesabu Inakuja Hivi
300, 000 X 500 X 2 X Siku 2=600, 000, 000/=

Biashara Gani Unatengeneza 600ml Kwa Siku 2.Tuwe Wapole

 
Back
Top Bottom