Ukome wewe, Mi Sitegemei Mshahara. Hata usipotoka Mwezi huu Sifi nja.Ndo ukome kutegemea mshahara.
Chief habr,,vp bado tu hajatupia?Ukome wewe, Mi Sitegemei Mshahara. Hata usipotoka Mwezi huu Sifi nja.
kwangu mshahara ukichelewa namna hii hata ukitoka sinaga hamu nao maana kihehere chote kinakuwa kmeisha
Salama Mzee, Bado aisee.Tumsikilizia mchana au jioni.Chief habr,,vp bado tu hajatupia?
Haina noma mkuu.Salama Mzee, Bado aisee.Tumsikilizia mchana au jioni.
Wanatuua kiuHaina noma mkuu.
Kazi na hakiWe badala ya kufanya kazi unawaza tu mshahara? Ndio maana Makonda kasema wafanyakazi kama nyie angewatia mboko!
Ndo maana hujui kuandika vizuri??mm ni muhuza viatu...
Tatizo huna akili,mwezi jana walitoa mshahara tar.21 so may 21 mwezi umetimia tatizo ulikimbia shuleDuuh!!!!! Wamezoeshwa Vibaya kupewa mshahara kabla ya mwisho wa mwezi! !!!
Muhuza Viatu? Au muuza Viatu? Jifunze kuandika kwanza ndo urudi huku, hesabu hujui na kuandika pia hujui??Ndo maana hujui kuandika vizuri??
We unajua mwisho mwezi tar 30 tu?? Acha kukurupuka mkuuTatizo huna akili,mwezi jana walitoa mshahara tar.21 so may 21 mwezi umetimia tatizo ulikimbia shule
Bora mie nafanya kazi na nakula mshahara na pia ni mjasiriamali,sema humu tunatumia id feki unaweza ukute wewe ni mlisha ng'ombe hapa kwangu niliyekulipa jana 70000 umegongea cm kwa kwa binti wa kazi umemunua mb 70 kwa 500 voda leo unaponda wanaotegemea mshaharakafe uko boya ww mtegemea mshahara....
Jina lako lenyewe umeabdika kwa herufi ndogo hujui maana ya nomino na kivumishi? Unafikiri wewe unajua kuhesabu, kusoma na kuandika mkuu? (Hata 3K's) zinakushindaa, pole sana mkuuTatizo hata kusoma hujui,ulikimbia shule,MAKU WEWE