Mshahara wa mwezi May vipi watumishi?

kwangu mshahara ukichelewa namna hii hata ukitoka sinaga hamu nao maana kihehere chote kinakuwa kmeisha
 
kafe uko boya ww mtegemea mshahara....
Bora mie nafanya kazi na nakula mshahara na pia ni mjasiriamali,sema humu tunatumia id feki unaweza ukute wewe ni mlisha ng'ombe hapa kwangu niliyekulipa jana 70000 umegongea cm kwa kwa binti wa kazi umemunua mb 70 kwa 500 voda leo unaponda wanaotegemea mshahara
 
Back
Top Bottom