Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini napiga hela zote za serikali na kitaa wewe house boy subili watu walipwe ulipweJina lako lenyewe umeabdika kwa herufi ndogo hujui maana ya nomino na kivumishi? Unafikiri wewe unajua kuhesabu, kusoma na kuandika mkuu? (Hata 3K's) zinakushindaa, pole sana mkuu
Utafungwa mdogo wangu andika "Kibiti" badala ya "kibiti" unajua matumizi ya nomino kweli?Njooo nipo kibiti nikujaze ujae ng'ombe wewe
Huko kwenu Kirua Moshi msomi ni yule anayeandika kwa herufi kubwaJina lako lenyewe umeabdika kwa herufi ndogo hujui maana ya nomino na kivumishi? Unafikiri wewe unajua kuhesabu, kusoma na kuandika mkuu? (Hata 3K's) zinakushindaa, pole sana mkuu
Yaani ku resit kote umeishia kujua nomino tuuuUtafungwa mdogo wangu andika "Kibiti" badala ya "kibiti" unajua matumizi ya nomino kweli?
Kwa uelewa wako wala sikushangai mdogo wanguHuko kwenu Kirua Moshi msomi ni yule anayeandika kwa herufi kubwa
Tatizo huna elimu,Mrema wawapi mshamba kiasi hichoo??We si unafanya kazi wanapohifadhia maiti tuliza basi utachafuka bure we muhuza Viatu
Mbona ume panic sana shida nin ? Mara nyingine kama threed hazikuhusu usiwe una comment, soma pita kushoto, mkwepa kodi mkubwa wewe!Tatizo huna elimu,Mrema wawapi mshamba kiasi hichoo??
Utakuwa muathirika wa unyafuzi, utapiamlo na udumavu si bure hadi ubongo wako umesimama kufanya kaziKwa uelewa wako wala sikushangai mdogo wangu
Ningekuwa na rusha ndege kwa akili kama zako kweli? Tulia basi kama huna cha kuongea mbona povu jingi sana, hivi huwa unatumia sabuni gani ?Utakuwa muathirika wa unyafuzi, utapiamlo na udumavu si bure hadi ubongo wako umesimama kufanya kazi
Kwenye ajira nalipa kodi,ila kwenye ujasiriamali nakwepa kodi ndo maana naona kafaida,wewe endelea kulipa ndo uzalendo malipo mbinguni mi najilipa hapa dunianiMbona ume panic sana shida nin ? Mara nyingine kama threed hazikuhusu usiwe una comment, soma pita kushoto, mkwepa kodi mkubwa wewe!
Biashara ya M 2? wenye biashara hawaongei tulia naona roho inataka kukutoka kisa hasira, acha jazba mkuuKwenye ajira nalipa kodi,ila kwenye ujasiriamali nakwepa kodi ndo maana naona kafaida,wewe endelea kulipa ndo uzalendo malipo mbinguni mi najilipa hapa duniani
Nawewe unachosemea nini?Biashara ya M 2? wenye biashara hawaongei tulia naona roho inataka kukutoka kisa hasira, acha jazba mkuu
Manji huwa hasemi ana mihela??!,toka vijijni huko kijana naona umekuwa mchawi sasaBiashara ya M 2? wenye biashara hawaongei tulia naona roho inataka kukutoka kisa hasira, acha jazba mkuu
Mkuu are u sure...??Kitu tayar wakuuu..
Sio utani mkuu,imesomaMkuu are u sure...??
Mkuu are u sure...??
Sio utani mkuu,imesoma
Mkuu ni kweli imesoma.... ubarikiwe kwa taarifa.Sio utani mkuu,imesoma