Mshahara wangu natumia nipendavyo,,,,, na mwanaume atimize majukumu yake
..
kumbe USHAOLEWA mmmmhhh
Mshahara wangu natumia nipendavyo,,,,, na mwanaume atimize majukumu yake
..
HAPANA ni KUTUNZA watoto na SIO WEWE
ni kweli mkuu! hata siyatetei ni ma actress tu mpaka fikra. halafu ukiyaona unaweza sema yako vizuri kiakili lakini uyakute mahali yanaongea halafu hayajakuona utachefukwa na roho. ni bora wale walio mtaani wenye elimu zao kiasi wakiwezeshwa mtaji wanakuwa wazuri kuliko hawa walioko maofisini, wengi mapichapicha tu!
kwani kazi ya mwanaume ni nini? sikunitunza? hayo mengine ziada tu, me mme wangu wala hata huwa haulizi kuhusu mshahara wangu
Kasome maandiko
no...nimeandika mimi!Haya maneno unasema wewe au,"hata siyatetei, uyakute mahali yanaongea...." aiseee, sijui ni manini hayo
Mijanaume imekua mivivuuuu!!! We ulioa ili nini? Hata bible inajua kua mke ni msaidizi wa mume tu!! Timiza wajibu wako uone kama mke atakusumbua....ila ukiwa goigoi utakujalalamika kuwa mkeo hakununulii boxer!!
1.Nguo
2.cosmetics
3.kwao
Kwa wale ndugu zangu mnaooa mtu si kwa sababu ya kumpenda bali kazi yake mtaishia kufa kwa presha na kufunja ndoa, wanawake pesa yao ina macho.
Nawambia nyie wanaume wavivu mnaotafuta mtelezeo.
Hawa wanaume wa chips mayai hawa full majanga
Wanataka kulelewa
Mwanaume halisi wa kiafrika rijali aliyekamilika halilii mshahara wa mke
Mke mshahara waje hua ni nyongeza tu
Ila hawa wa chips mayai anataka akuoe akiwa amechungulia salary slip yako na kuipigia hesabu, halafu bado anataka kua kichwa cha familia
----- mtupu