Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,368
Kama mkeo anataka umnunulie kila kitu ilihali ana kazi basi mwanaume ujitambue kua 'una vuna ulichopanda' alafu unakuja huku kupiga kelele....
shemeji vp unamfanyia hivyo ndg yangu Himidin?? Mm mke wangu tunagawana sawa majukumu