Mshahara wa mwanamke huishia hapa

Mshahara wa mwanamke huishia hapa

Kwa hiyo mwanamke akiolewa anapoteza akili?
Kongosho, cool down...! dont go there, ok?

ni hivi, nilikuuliza kati ya wale uliowataja, kuna aliyeolewa?

naamini wanawake wote, married na non married, mna akili.. sana tu!
 
Last edited by a moderator:
Du sijui. Na midume inayovaa hereni kujipenda kuvaa tuuitaje. Sio wanawake wote kaka yangu samaki mmoja akioza sio wote labda huyo wako kweli kuna mijanajike. Mijinga kazi kuchuna tu
 
..Hamtaki mfumo dume, sasa mwataka mfumo gani??
 
ni kweli mkuu! hata siyatetei ni ma actress tu mpaka fikra. halafu ukiyaona unaweza sema yako vizuri kiakili lakini uyakute mahali yanaongea halafu hayajakuona utachefukwa na roho. ni bora wale walio mtaani wenye elimu zao kiasi wakiwezeshwa mtaji wanakuwa wazuri kuliko hawa walioko maofisini, wengi mapichapicha tu!
Mkuu nimecheka kinoma, wengi mapichapicha tu!!!
 
Du sijui. Na midune inayovaa hereni kujipenda kuvaa tuuitaje. Sio wanawake wote kaka yangu samaki mmoja akioza sio wote labda huyo wako kweli kuna mijanajike. Mijinga kazi kuchuna tu
Naomba uni PM baby!!!
 
Wanawake wafanyakazi ni wabinafsi,wanaroho mbaya,kujenga hataki kuchangia, mkivurugana ooh! Nyumba tumejenga wote,wewe ulitoa sh ngapi? Hapo ndio hua nawaona hamnazo na zimemwagika akili zao.
Wewe kitu ulichokataa kuchangia unadai vipi nawe upate?
 

mkeo kipato chake kitakua kidogo
thats y zake zinaishia huko,wengine wanatumia hivyo
vyote na bado wana maendeleo kwa sana!!
 
wale ni wanawake kwa jinsia ila ni wanaume kifikra! si nyie mpaka ped unataka ununuliwe na kazi unayo....schwine kabisa!

hehehehe
umenena,leo kuamka tuu
nikakuta sms inasema
mpenzi nakaribia period,nahtaj ped,will u buy for me???
 

mkeo kipato chake kitakua kidogo
thats y zake zinaishia huko,wengine wanatumia hivyo
vyote na bado wana maendeleo kwa sana!!

ila pale beijing mkutanon c mlipaza saut za haki sawa kwa wote!!2pgen pasu kwa pasu sasa 2one mech itaishaje..,NOTE.Wanawake wa kibongo achen kabsa kuimba nyimbo za kimagharibu(i.e haki sawa),kamwe hamtashnda vita hyo..,waachien kna beyonce,j lo na rihanna inawafaa kwa mazngira ya nch yao na c huku uswahln kwe2!
 
Hiyo ndo sera ya midada ya siku hizi nguo,midawa,kwao.piga uwa lazima fedha Yale situé hapo hasa mitumishi inakera kweli wizi mtupu
 
Hakuna kupangiana matumizi,wewe timiza majukumu yako uone kama kuna atakayekuuliza chenji umeifanyia nini!
Tatizo wanaume wa siku hizi mnapenda sana mteremko,mnatamani kusaidiwa sana kustawisha uchumi wa familia na mbaya zaidi hamkawii kujisahau mkaona ni jukumu la mke pia!!!
Mkimegewa mnapiga kelele!!!!
Shame!

Hahahaaa wanamegewa na akina nani?
 
Back
Top Bottom