Mshahara wa mwanamke huishia hapa

Mshahara wa mwanamke huishia hapa

ila pale beijing mkutanon c mlipaza saut za haki sawa kwa wote!!2pgen pasu kwa pasu sasa 2one mech itaishaje..,NOTE.Wanawake wa kibongo achen kabsa kuimba nyimbo za kimagharibu(i.e haki sawa),kamwe hamtashnda vita hyo..,waachien kna beyonce,j lo na rihanna inawafaa kwa mazngira ya nch yao na c huku uswahln kwe2!

basi na sketi na gauni pia mvae ili tuwe sawa!!
 
Hakuna kupangiana matumizi,wewe timiza majukumu yako uone kama kuna atakayekuuliza chenji umeifanyia nini!
Tatizo wanaume wa siku hizi mnapenda sana mteremko,mnatamani kusaidiwa sana kustawisha uchumi wa familia na mbaya zaidi hamkawii kujisahau mkaona ni jukumu la mke pia!!!
Mkimegewa mnapiga kelele!!!!
Shame!

Hawa wanaume wa chips mayai hawa full majanga

Wanataka kulelewa

Mwanaume halisi wa kiafrika rijali aliyekamilika halilii mshahara wa mke

Mke mshahara waje hua ni nyongeza tu

Ila hawa wa chips mayai anataka akuoe akiwa amechungulia salary slip yako na kuipigia hesabu, halafu bado anataka kua kichwa cha familia

----- mtupu
 
Na ninyi wanawake mnapenda hovyo mno. Mnajitakia majanga wenyewe. Mfunguke mpitie upya vigezo vya mume anayefaa. Mpe live kuwa huna viwango. Na mtajie sifa a.k.a viwango vya mume anayefaaa. Lakini na wewe uwe unalipa. Maana mdada majanga ni haki yake kabisa kupata kijana majanga.
 
Kwa yule ambae hajatendwa na mwanamke atawatetea, nakushaurini vidume wenzagu hata siku moja usiwaamini hao wadudu akiingia kwenye kumi na nane zako fumua kabisa hata kama ana nyumba ya urithi aiuze akuletee hela.
 
Aisee sifanyi upuuzi, kabla ya kuweka ndani nachungulia kwanza contract ina uzito gani au salary slip nijilizishe kwanza. Baada ya hapo development yoyote ni 50/50 + matumizi mengine na ninaendesha familia kwa share. Hataki anasepa!!!!!.
 
Kwa yule ambae hajatendwa na mwanamke atawatetea, nakushaurini vidume wenzagu hata siku moja usiwaamini hao wadudu akiingia kwenye kumi na nane zako fumua kabisa hata kama ana nyumba ya urithi aiuze akuletee hela.

Unazungumzia wadudu gani hapo pa blue?
 
Kuna wanawake wengi wanazilisha familia zao tena kwa kipato chao kidogo. Ni wangapi kati yetu tumekula, kuvishwa na kusomeshwa na mama zetu wakati baba akihangaika na nyumba ndogo au pombe? Hata kwenye maishabya leo ni kwamba kuta za nyumba hazisemi tu... wengi wife anaziba magepu, wanasomesha watoto, wanajenga nyumba etc. Some men kazi kujipaka perfume na kuvaa suti tu ukimkuta barabarani utadhani wa maana
 
Kuna wanawake wengi wanazilisha familia zao tena kwa kipato chao kidogo. Ni wangapi kati yetu tumekula, kuvishwa na kusomeshwa na mama zetu wakati baba akihangaika na nyumba ndogo au pombe? Hata kwenye maishabya leo ni kwamba kuta za nyumba hazisemi tu... wengi wife anaziba magepu, wanasomesha watoto, wanajenga nyumba etc. Some men kazi kujipaka perfume na kuvaa suti tu ukimkuta barabarani utadhani wa maana

Wa siku hizi hamna hiyo hao walikuwa wa wazamani.
 
hehehehe
umenena,leo kuamka tuu
nikakuta sms inasema
mpenzi nakaribia period,nahtaj ped,will u buy for me???
ndo hayo sasa ukiwadharau wanalalamika bora hata angekuwa mkeo tena mara mojamoja sana so iwe tabia! wanapenda ZERO cost sana hawa!
 
Mshahara wangu natumia nipendavyo,,,,, na mwanaume atimize majukumu yake
..
 
mmh inategemea na mlivoanza kuishi ilikuwaje..pesa ya mwanamke rahisi sana kuipata ila tatizo nyie wanaume hamuwajulii jinsi ya kuishi na wake zenu ndio mana wanazificha..sasa wewe mume unaficha mshahara wako, ukipata chochote unaficha..husemi kweli kuhusu kipato chako halafu baadae unataka yeye mke ndio akuonyeshe cha kwake?
ww mpende mke wako mapenzi ya kweli na usimfiche chochote uone km yy ataficha hela zake..
 
kwani kazi ya mwanaume ni nini? sikunitunza? hayo mengine ziada tu, me mme wangu wala hata huwa haulizi kuhusu mshahara wangu
 
Kuna wengine tunahudumia familia na nyumba tunajenga unadhani ni wote waliejaliwa kupata wanaume wenye kujali familia ?
 
Back
Top Bottom