ilala yetu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 1,237
- 1,919
Wapo training wenzako
Funguka mkuu Kama una detail if washaita teyari tusije tukawa tunamsubiria yesu..Wapo training wenzako
Wapo training wenzako
Funguka mkuu Kama una detail if washaita teyari tusije tukawa tunamsubiria yesu..Wapo training wenzako
RUWASA ya wapi kila mkoa kuna RUWASAIla wana mpango wa kuajiri watu au just watumie nguvu kazi za watu alaf mwisho wa siku kwishnei kila mtu atajijua mwenyewe, na vp kuhusiana na watu ambao walishaajiriwa permanent pale RUWASA mfano wa wahandisi malipo yao yanakuaje?
Tujuzane wakuu kwa wale walioko huko au wenye watu wao huko, isije kuwa sometimes mtu unajitutumua kumbe kazi bure. Na wala sio maswala ya kufichana saa hv ni dunia ya utandawazi. Naomba kuwasilisha
Mfano Ruwasa ya ArushaRUWASA ya wapi kila mkoa kuna RUWASA
Wameanza lini mkuu?Ruwasa arumeru wameanza kuita watu kwa njia ya simu
Hao arumeru hawausiani na ile program ya kujitolea wenyewe walitangazaga nafasi za kazi mwez wa kwanza.leo rafiki yangu kaitwa afike jumatanoWameanza lini mkuu?
Anhaa okayHao arumeru hawausiani na ile program ya kujitolea wenyewe walitangazaga nafasi za kazi mwez wa kwanza.leo rafiki yangu kaitwa afike jumatano
Nafas kwa fani zipi walitangaza?Hao arumeru hawausiani na ile program ya kujitolea wenyewe walitangazaga nafasi za kazi mwez wa kwanza.leo rafiki yangu kaitwa afike jumatano
Msimamizi wa jumuiya(katibu) na muhasibu wakeNafas kwa fani zipi walitangaza?
Zile za kujitolea ni za jumuiya ya Ruwasa au ni ruwasa wenyewe?Msimamizi wa jumuiya(katibu) na muhasibu wake
Af pia nzega wametangaza nafasi
HAKUNA jumuiya ya ruwasa isipokuwa Kuna jumuiya ya Kijiji flani then mradi unajengwa na ruwasa wanawakabizi wanajuiya ambao wenyewe uongozi wao Ni bodiZile za kujitolea ni za jumuiya ya Ruwasa au ni ruwasa wenyewe?
Anhaa okay, nimekupata mkuuHAKUNA jumuiya ya ruwasa isipokuwa Kuna jumuiya ya Kijiji flani then mradi unajengwa na ruwasa wanawakabizi wanajuiya ambao wenyewe uongozi wao Ni bodi
Bado mkuu tuendelee kuvumuliaWakuu vp hakuna mdau hata mmoja aliepigiwa simu na jamaa wa ruwasa?
Mie kwangu bado kimya, cjui kwa wengine tuWakuu Kuna lolote ..
Au bado kimya.
Hapo sasa ndio shida, pengine mtu unakuja kupangiwa mkoa ambao uliouweka choice ya tatu.jana nimekutana na mtu wa ruwasa ananiambia majina yametumwa wizarani
Ko wizara ndo itatoa hayo majina ..jana nimekutana na mtu wa ruwasa ananiambia majina yametumwa wizarani