Moment of silent
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 807
- 1,394
Wakiita watu tusiache kujuzana humu, maana naamini wadau wengi wameomba zile kazi za kujitolea, mtaani kugumu bro!Hiv bado hawajaita watu mpaka leo?
Wakiita watu tusiache kujuzana humu, maana naamini wadau wengi wameomba zile kazi za kujitolea, mtaani kugumu bro!Hiv bado hawajaita watu mpaka leo?
Mkuu inavyoonesha una information muhimu kuhusu RUWASA,, kwa sasa upo mkoa gani?Bado
Me nipo singida na nimemaliza Chuo Cha maji mwaka juzi tu HYM hata Mimi nimeomba hizo kazi mikoa ya singida,simiyu na manyara..hata hivyo Kuna mradi wa maji nilipewa na bodi ta Kijiji nisimamie ila umenishinda asee changamoto Ni nyingi Sana watu wa vijijini sio wastaraabu wanakata mabomba makusudi Yale yaliyo kwenye korongo...af kingine huwa mradi ulijengwa toka 2015 kwa hivyo ufisadi ulikuwa mkubwa walikuwa wanakula hela za mafuta ya kwenye mashine hawajazi Tanki..nikaachana na huo mradi nasubiria na Mimi soon nimeambiwa kwenye Mwezi ujao mwanzoni af nasikia utaratibu unaweza kuwa mzuri ukashangaa miezi sita haifiki miezi miwili tu unapewa mkatabaMkuu inavyoonesha una information muhimu kuhusu RUWASA,, kwa sasa upo mkoa gani?
Ila wana mpango wa kuajiri watu au just watumie nguvu kazi za watu alaf mwisho wa siku kwishnei kila mtu atajijua mwenyewe, na vp kuhusiana na watu ambao walishaajiriwa permanent pale RUWASA mfano wa wahandisi malipo yao yanakuaje?
Tujuzane wakuu kwa wale walioko huko au wenye watu wao huko, isije kuwa sometimes mtu unajitutumua kumbe kazi bure. Na wala sio maswala ya kufichana saa hv ni dunia ya utandawazi. Naomba kuwasilisha
Yah mkuu niliomba izo niliombea morogoro..Mkuu kwan na ww uliomba zile kazi za kujitolea?
Naamini soon wataita watu, tuwe na subra tu, bora mtu upate ujuzi kuliko kukaa bure mbeleni Mungu atafanya wepesi
Offcourse najua baadhi ya watu wapo huko wamepewa mikataba Sasa ni waajiriwa waliingia hivi hivi ..Me nipo singida na nimemaliza Chuo Cha maji mwaka juzi tu HYM hata Mimi nimeomba hizo kazi mikoa ya singida,simiyu na manyara..hata hivyo Kuna mradi wa maji nilipewa na bodi ta Kijiji nisimamie ila umenishinda asee changamoto Ni nyingi Sana watu wa vijijini sio wastaraabu wanakata mabomba makusudi Yale yaliyo kwenye korongo...af kingine huwa mradi ulijengwa toka 2015 kwa hivyo ufisadi ulikuwa mkubwa walikuwa wanakula hela za mafuta ya kwenye mashine hawajazi Tanki..nikaachana na huo mradi nasubiria na Mimi soon nimeambiwa kwenye Mwezi ujao mwanzoni af nasikia utaratibu unaweza kuwa mzuri ukashangaa miezi sita haifiki miezi miwili tu unapewa mkataba
Mkuu Hawa ndege John wapo wengi Sana msange 823 kalunde adi ad yombo mbola ..umepita Nini apoMe nipo singida na nimemaliza Chuo Cha maji mwaka juzi tu HYM hata Mimi nimeomba hizo kazi mikoa ya singida,simiyu na manyara..hata hivyo Kuna mradi wa maji nilipewa na bodi ta Kijiji nisimamie ila umenishinda asee changamoto Ni nyingi Sana watu wa vijijini sio wastaraabu wanakata mabomba makusudi Yale yaliyo kwenye korongo...af kingine huwa mradi ulijengwa toka 2015 kwa hivyo ufisadi ulikuwa mkubwa walikuwa wanakula hela za mafuta ya kwenye mashine hawajazi Tanki..nikaachana na huo mradi nasubiria na Mimi soon nimeambiwa kwenye Mwezi ujao mwanzoni af nasikia utaratibu unaweza kuwa mzuri ukashangaa miezi sita haifiki miezi miwili tu unapewa mkataba
hujaelewa nini mkuu?Tupo wadau, ila sijaelewa vzur kwa huyo mdau anaejitolea bank
Umepigiwa simu na ruwasa wilaya gani na je ulifanya interview ya nachngwea?hujaelewa nini mkuu?
Hata Mimi sijamuelewaTupo wadau, ila sijaelewa vzur kwa huyo mdau anaejitolea bank
Tupo Sana tunasubiria jumatatu awesso awashe Moto kwa mameneja na mkurugenzi mkuu Nini tatizo mpaka wachelewe kutoa nafasi wakati pesa ipowadau wamepotea. Kweli maisha magumu
Mkataba huwa Ni miaka mitatu na unaingia na bodi ya Kijiji husikaAnaejua aniambie mkataba wa jumuiya ya watumiaji maji ruwasa upoje,nimepigiwa simu Kanda ya kusini mkataba au mradi ukiisha inakuaje?
Sasa kama umekimbia kazi kutokana na changamoto ya watu kukata mabomba je kama wewe ni injinia kazi ya maji utaiweza kweli?Me nipo singida na nimemaliza Chuo Cha maji mwaka juzi tu HYM hata Mimi nimeomba hizo kazi mikoa ya singida,simiyu na manyara..hata hivyo Kuna mradi wa maji nilipewa na bodi ta Kijiji nisimamie ila umenishinda asee changamoto Ni nyingi Sana watu wa vijijini sio wastaraabu wanakata mabomba makusudi Yale yaliyo kwenye korongo...af kingine huwa mradi ulijengwa toka 2015 kwa hivyo ufisadi ulikuwa mkubwa walikuwa wanakula hela za mafuta ya kwenye mashine hawajazi Tanki..nikaachana na huo mradi nasubiria na Mimi soon nimeambiwa kwenye Mwezi ujao mwanzoni af nasikia utaratibu unaweza kuwa mzuri ukashangaa miezi sita haifiki miezi miwili tu unapewa mkataba
Walikuwa hawanilipi posho ya kujikimu just imagine miezi mitatu sijapewa pesa halafu ntaishi vip.akati wanatakiwa wanipe laki mbili hela nilipokuwa napatia ni kwenye new connection ndo napata 30000 za Ufundi maana hata fundi maji na mhasibu alikimbia ikabidi majukumu yote nisimamie Mimi Kama technician vile vile Kama mhasibu... ufisadi wa kutisha hivi wewe unaamini kweli mradi Una faida ya 80000 tu kwa miaka yote mitano akati wateja wapya binafsi wamajumbani Zaid ya 17....DP Zaidi ya 16 ambazo Ni active....nilipofika nikagundua mchezo wao wakaanzaga majungu we hujui tu Visa vya wanakijiji Ni mateso..Kwanza nikapewa Siri wanataka waibe mpka pampu Sasa imagine wamekukuta mashineni peke yako usiku ukivuta maji si watakuua wachukue mashine...miradi mipya iliyojengwa na ruwasa mwaka huu na mwaka Jana ndo mizuri sio ile iliyokuwa chini ya halmashauri..Sasa kama umekimbia kazi kutokana na changamoto ya watu kukata mabomba je kama wewe ni injinia kazi ya maji utaiweza kweli?
Unless uende mamlaka za maji (ukawe injinia mziba leakage na msoma mita) ila kama utaajiriwa RUWASA basi jua una wakati mgumu sana kama hako kachangamoto ndio kamekufanya uache kazi..
Mkataba ukiisha unaajiliwa au unarudi nyumbani?wanalipaje kuna poshoMkataba huwa Ni miaka mitatu na unaingia na bodi ya Kijiji husika