Tetesi: MSHAHARA WA MILIONI 400

Hii ndio ile alosema Arthurtz Benjamin "Hustle until your haters ask if you are hiring"
Benjamin anasema na Bado. Sasa sisi tuendelee kusema
Ohoo mtoto wa baba
Ohoo scholarship lazima arudi bongo
Ohoo milioni 400

Sisi ngoja tujenge serikali ya viwanda tukielekea kwenye uchumi wa kati
IMG_20181216_211750_301.JPG
 
Kasema wapi lete source hapa asije Kuwa alikuambia mkiwa wawili tu

Naongela uzoefu na kujua kuhusu SGSB
Because my BF he graduated 3 years before Benjimani hapo hapo Stanford licha ya kwamba Ni different schools
Nenda fb kwenye page yake, aliiweka hadi post hiyo sponsored kwa kuilipia hata kama hukulike unaiona post hiyo
 
Ilianza kama utani hivi wengi wakawa hawa amini, wengi wakaanza kutoa kejeri na kumbeza kumuona limbukeni tena wengine wa kaanza kutukana na kumuona mjinga. Kwa kijana mdogo sana kufanya maamuzi magumu ya kukataa kuajiriwa marekani na kuamua kurudi nyumbani ilialete mabadiliko. Hapa Namzungumzia huyu Mwanzilishi na CEO wa Kampuni ya NALA Inc. Benjamin Fernandes. Ambae aliwashangaza watanzania wengi mara baadaya ya kuacha kufanya kazi USA licha ya viwango vizuri vya mshahara mnono ambao kwa wahitimu wa STANFORD hulipwa. Alipo ulizwa kwanini ameamua kurudi Tanzania alisema anarudi kwaajili ya kusaidia mambo matatu Vijana, Elimu na Sekta ya teknolojia na fedha. Hii ikawa bado haijaeleweka kwa watanzania wengi sana

Miezi kadhaa baadae akaja na startup yake kwa jina la NALA. Hapa ndio wengine wakawa hawajaelewa kabisa kwamba mtu ache kufanya kazi marekani aje kutengneza App bongo. Bila ya kifahamu jamaa ana malengo gani na hiyo startup na nchi yake Tanzania.
Kwa muda wa miezi sita tu jamaa kashanza kuonyesha nini yalikuwa malengo yake na vile ameamua kuitangaza Tanzania kwenye level za kimataifa. Huku akijizatiti kuwatia hamasa vijana wengine ili walete mapinduzi bora kwa maendele ya nchi.
NALA kama startup imefanya makubwa kwa miezi 6 tu mambo ambayo corporate kubwa Tanzania zenye muda mrefu hazijafanikiwa kufanya. Hii na kuifanaya Tanzania ing’ae kwenye level za kimataifa.

Kupitia startup hii naona sasa watanzania tubadilishe headline na kuona na kufahamu vitu vya kuiga kutoka kwa Benjamin sio tena maswala ya mshahara wa mamilioni. Tena hasa wale ambao huwa mara zote ndio wahubiri wa kusema vijana wajiajiri huku mtu akikataa kujiajiriwa wanaanza kutukana, kutoa mapovu na kukuona mjinga.

Hebu sasa hivi tunapo mzungumzia Benjamin au NALA tuseme hivi

1. NALA kampuni ya kwanza Tanzania kutengeneza App ya kifedha ambayo hufanya kazi OFFLINE
View attachment 968839

NALA ndio application ya kwanza sio tu Tanzania bali Africa tutengeneza application ambayo mobile money users wana uhuru wa kufanya shughuli zao zote za kifedha bila kutumia internet​
2. NALA kampuni ya kwanza Tanzania kushinda Tuzo ya ECOBANK FINTECH CHALLENGE
View attachment 968841
Hebu fikiria hii kampuni Zaidi ya 400 kutoka Africa kwenye mashindano makubwa ya fintech kampuni pekee kutoka Tanzania inaingia tena inalete ushindani na kushinda. Kitu ambacho hakijawahi kutokea kwenye sekta ya teknolojia na fedha hapa nchini

3. NALA kampuni ya kwanza Tanzania kushinda tuzo ya disruptive innovation kutoka AppsAfrica
View attachment 968842

Naam hakuna anayeweza kupinga hili kuwa NALA ni moja ya kampuni disruptive na innovative.

4. NALA kampuni ya kwanza Tanzania kushinda mashindano Y-Combinator
View attachment 968843

Katika historia NALA imefungua mlango Tanzania kushinda mashindano hayo. Ikumbukwe Y-Combinator ndio kampuni wezeshi nyuma ya kampuni nyingi kubwa duniani kama vile Airbnb, Coinbase, Wepay, Reddit, Dropbox na orodha inaendelea hivyo tusishange kuona NALA inafanya vizuri na kuwa kubwa Zaidi kama kampuni hizo nyingine

5. NALA kampuni ya kwanza Tanzania kupata uwekezaji wa Milioni 100 kutoka kwa Bill gate.

Kupitia DFS lab funded by bills and melinda gate foundation ndio kampuni ya kwanza kushinda uwekezaji huo

6. NALA ndio kampuni ya kwanza kushinda Tuzo kutoka STANFORD university
View attachment 968844
kupitia mwanzilishi Benjamin NALA wake ilishinda tuzo ya social innovation katika mmoja ya hatua zake za awali kabisa


Tayari NALA inawatumiaji Zaidi ya 50,000 bila ya event ya kuzindua wala kutangaza kwenye TV na redio wala kuiona barabarani kwenye billboards. Hii ni kutokana na timu bora ya Benjamin na Benjamin mwenyewe na watanzania wanopenda kusupport vitu bora. Kwa hii nampa hongera sana. Naweza kuona NALA ikiwa na mafanikio makubwa hapo mbeleni naona NALA ni Zaidi ya PayPal, Wepay au Alipay kama anavyosema Benjamin anakuja na DIGITAL BANK YA AFRICA na itaanzia hapa hapa nyumbani. Can’t wait to see it


Ushauri wangu kwa Vijana, Serikali na Watanzania wote
Tutambue juhudi na uwezo wa vijana kama Benjamin na wengine wanaoleta mabadiliko chanya kwenye taifa na kuitangaza vyema Tanzania yetu. Tena yatupasa tuwatumie ipasavyo kama nchi na kampuni nyingine kubwa zinavyomtumia Benjamin
Benjamin amekuwa akitumiwa na kampuni kubwa kama vile Google, Instagram, Amazon na kampuni nyingine kitu ambacho bado sisi tumeshimdwa kumtumia
View attachment 968846
View attachment 968848



Benjamin amekuwa akitumiwa na vyuo vikuu marekani kama vile University of Washington, Pennsylvania, Wharton School na vyuo vingine. Huku kwetu utamkuta kaitwa UDSM kwenye event za kuhamasiha vijana tena event zilizoandaliwa na wanafunzi.
View attachment 968851
whatsapp-image-2018-12-15-at-12-24-52-pm-jpeg.968853

Mwezi wa 9 nilimuona Italy alialikwa kuwa mmoja ya wazungumzaji nchini Italy kwenye mkutano wa Young global leaders, Mkutano uliandaliwa na serikali ya Italy wakishirikiana na USA. kila mmoja alivutiwa na mazungumzo yake kwani aliongea kwa ufasaha na upana zaidi


View attachment 968859
Pia vijana tujitahidi kutumia resource tulizonazo kwa kuleta maendeleo binafsi na kwa taifa. Kama yeye mtaji wake ulikuwa wa bando tu vipi mimi na wewe
Usijiongopee mradi wake ulikuwa ni bando tu. Hujui behind the scene, kasoma nje ya Tanzania asilimia 98 ya maisha yake kwahiyo exposure yake ni tofauti na vijana waliosoma vidudu mpaka chuo bongo pia anatoka familia tajiri yenye uwezo mzuri. Ndio maana tajiri ni rahisi kuendelea kufanikiwa kuliko maskini anayetaka atafute aanze zero.
Hiyo app unayosema wametengeneza vijana wa Tanzania yeye kaja na idea pamoja na capital tu.
Please usiwadharau Sana vijana wa kitanzania wanahitaji kuwezeshwa ili wawe bora zaidi..
Yangu hayo tu.
 
Hata mm ningefika chuo Lazima ningevumbua kitu, alipata elimu ya kutosha huko nje siyo bongo, Tatizo elimu ya kibongo inatuweka tuwe tegemezi
 
Usijiongopee mradi wake ulikuwa ni bando tu. Hujui behind the scene, kasoma nje ya Tanzania asilimia 98 ya maisha yake kwahiyo exposure yake ni tofauti na vijana waliosoma vidudu mpaka chuo bongo pia anatoka familia tajiri yenye uwezo mzuri. Ndio maana tajiri ni rahisi kuendelea kufanikiwa kuliko maskini anayetaka atafute aanze zero.
Hiyo app unayosema wametengeneza vijana wa Tanzania yeye kaja na idea pamoja na capital tu.
Please usiwadharau Sana vijana wa kitanzania wanahitaji kuwezeshwa ili wawe bora zaidi..
Yangu hayo tu.
Kutoka family Nzuri sio hoja ya msingi kwenye mafanikio ya mtu mfano mzuri ni bill gate tu

Kutoka family Nzuri hakukufanyi utengeneze solution nzuri
Hakukufanyi ulete ushindani kwa level za kimataifa

Kinachopamba na uwezo na uweredi wako sio family hasa tunapokuja kwenye technology

He's smart and he deserves because of work hard of his and the Team
 
Halafu muelewe huyo ana chembechembe za utajiri since mdogo, amekulia mazingira ya kishua sana na amepata Exposure za kutosha

Baba yake nasikia ni yule Mwenye kituo cha TV cha ATN

"Mtanzania mwenye asili ya Asia"
Kwa nini mnataka kumtambua kama mtanzania mwenye asili ya Asia, mbona yeye anajivunia utanzani wake pamoja na kuwa nchi yenyewe imejaa vilaza na wanafiki.!
 
wasemavyo wadau mtaani mkuu
Sio vyema kumchukulia hivyo, ndio maana tunazidi kuwa nyuma kila idara...Angalia Taifa kama Marekani ama Ufaransa wameendelea kwenye michezo sababu ya wageni wengine wananunuliwa kabisa ili kulipa heshima Taifa lao.

Sisi tumejaa ubanafsi wakati hatuna chochote cha kulifanyia Taifa letu...

Wananchi waongo waongo na wanafiki hatimaye tumeunda na serikali ya kijanjakijanja isiyopenda hata kuambiwa ukweli...

Halafu ndio wa kwanza kujiita wazalendo.
 
Sio vyema kumchukulia hivyo, ndio maana tunazidi kuwa nyuma kila idara...Angalia Taifa kama Marekani ama Ufaransa wameendelea kwenye michezo sababu ya wageni wengine wananunuliwa kabisa ili kulipa heshima Taifa lao.

Sisi tumejaa ubanafsi wakati hatuna chochote cha kulifanyia Taifa letu...

Wananchi waongo waongo na wanafiki hatimaye tumeunda na serikali ya kijanjakijanja isiyopenda hata kuambiwa ukweli...

Halafu ndio wa kwanza kujiita wazalendo.
aisee well in good.. TANZANIA HATUPENDANI
 
Bado sielewi....anafaidikaje kwa hiyo app?
Jiulize WhatsApp ananufaikaje? Kikubwa ni kusupport hiyo NALA ikifikia level flani atanufaika zaidi kuliko hizo fedha za Tuzo

Usishangae NALA inanunuliwa na PayPal akapata kuwa Board of Director.
 
Ilianza kama utani hivi wengi wakawa hawa amini, wengi wakaanza kutoa kejeri na kumbeza kumuona limbukeni tena wengine wa kaanza kutukana na kumuona mjinga. Kwa kijana mdogo sana kufanya maamuzi magumu ya kukataa kuajiriwa marekani na kuamua kurudi nyumbani ilialete mabadiliko. Hapa Namzungumzia huyu Mwanzilishi na CEO wa Kampuni ya NALA Inc. Benjamin Fernandes. Ambae aliwashangaza watanzania wengi mara baadaya ya kuacha kufanya kazi USA licha ya viwango vizuri vya mshahara mnono ambao kwa wahitimu wa STANFORD hulipwa. Alipo ulizwa kwanini ameamua kurudi Tanzania alisema anarudi kwaajili ya kusaidia mambo matatu Vijana, Elimu na Sekta ya teknolojia na fedha. Hii ikawa bado haijaeleweka kwa watanzania wengi sana

Miezi kadhaa baadae akaja na startup yake kwa jina la NALA. Hapa ndio wengine wakawa hawajaelewa kabisa kwamba mtu ache kufanya kazi marekani aje kutengneza App bongo. Bila ya kifahamu jamaa ana malengo gani na hiyo startup na nchi yake Tanzania.
Kwa muda wa miezi sita tu jamaa kashanza kuonyesha nini yalikuwa malengo yake na vile ameamua kuitangaza Tanzania kwenye level za kimataifa. Huku akijizatiti kuwatia hamasa vijana wengine ili walete mapinduzi bora kwa maendele ya nchi.
NALA kama startup imefanya makubwa kwa miezi 6 tu mambo ambayo corporate kubwa Tanzania zenye muda mrefu hazijafanikiwa kufanya. Hii na kuifanaya Tanzania ing’ae kwenye level za kimataifa.

Kupitia startup hii naona sasa watanzania tubadilishe headline na kuona na kufahamu vitu vya kuiga kutoka kwa Benjamin sio tena maswala ya mshahara wa mamilioni. Tena hasa wale ambao huwa mara zote ndio wahubiri wa kusema vijana wajiajiri huku mtu akikataa kujiajiriwa wanaanza kutukana, kutoa mapovu na kukuona mjinga.

Hebu sasa hivi tunapo mzungumzia Benjamin au NALA tuseme hivi

1. NALA kampuni ya kwanza Tanzania kutengeneza App ya kifedha ambayo hufanya kazi OFFLINE
View attachment 968839

NALA ndio application ya kwanza sio tu Tanzania bali Africa tutengeneza application ambayo mobile money users wana uhuru wa kufanya shughuli zao zote za kifedha bila kutumia internet​
2. NALA kampuni ya kwanza Tanzania kushinda Tuzo ya ECOBANK FINTECH CHALLENGE
View attachment 968841
Hebu fikiria hii kampuni Zaidi ya 400 kutoka Africa kwenye mashindano makubwa ya fintech kampuni pekee kutoka Tanzania inaingia tena inalete ushindani na kushinda. Kitu ambacho hakijawahi kutokea kwenye sekta ya teknolojia na fedha hapa nchini

3. NALA kampuni ya kwanza Tanzania kushinda tuzo ya disruptive innovation kutoka AppsAfrica
View attachment 968842

Naam hakuna anayeweza kupinga hili kuwa NALA ni moja ya kampuni disruptive na innovative.

4. NALA kampuni ya kwanza Tanzania kushinda mashindano Y-Combinator
View attachment 968843

Katika historia NALA imefungua mlango Tanzania kushinda mashindano hayo. Ikumbukwe Y-Combinator ndio kampuni wezeshi nyuma ya kampuni nyingi kubwa duniani kama vile Airbnb, Coinbase, Wepay, Reddit, Dropbox na orodha inaendelea hivyo tusishange kuona NALA inafanya vizuri na kuwa kubwa Zaidi kama kampuni hizo nyingine

5. NALA kampuni ya kwanza Tanzania kupata uwekezaji wa Milioni 100 kutoka kwa Bill gate.

Kupitia DFS lab funded by bills and melinda gate foundation ndio kampuni ya kwanza kushinda uwekezaji huo

6. NALA ndio kampuni ya kwanza kushinda Tuzo kutoka STANFORD university
View attachment 968844
kupitia mwanzilishi Benjamin NALA wake ilishinda tuzo ya social innovation katika mmoja ya hatua zake za awali kabisa


Tayari NALA inawatumiaji Zaidi ya 50,000 bila ya event ya kuzindua wala kutangaza kwenye TV na redio wala kuiona barabarani kwenye billboards. Hii ni kutokana na timu bora ya Benjamin na Benjamin mwenyewe na watanzania wanopenda kusupport vitu bora. Kwa hii nampa hongera sana. Naweza kuona NALA ikiwa na mafanikio makubwa hapo mbeleni naona NALA ni Zaidi ya PayPal, Wepay au Alipay kama anavyosema Benjamin anakuja na DIGITAL BANK YA AFRICA na itaanzia hapa hapa nyumbani. Can’t wait to see it


Ushauri wangu kwa Vijana, Serikali na Watanzania wote
Tutambue juhudi na uwezo wa vijana kama Benjamin na wengine wanaoleta mabadiliko chanya kwenye taifa na kuitangaza vyema Tanzania yetu. Tena yatupasa tuwatumie ipasavyo kama nchi na kampuni nyingine kubwa zinavyomtumia Benjamin
Benjamin amekuwa akitumiwa na kampuni kubwa kama vile Google, Instagram, Amazon na kampuni nyingine kitu ambacho bado sisi tumeshimdwa kumtumia
View attachment 968846
View attachment 968848



Benjamin amekuwa akitumiwa na vyuo vikuu marekani kama vile University of Washington, Pennsylvania, Wharton School na vyuo vingine. Huku kwetu utamkuta kaitwa UDSM kwenye event za kuhamasiha vijana tena event zilizoandaliwa na wanafunzi.
View attachment 968851
whatsapp-image-2018-12-15-at-12-24-52-pm-jpeg.968853

Mwezi wa 9 nilimuona Italy alialikwa kuwa mmoja ya wazungumzaji nchini Italy kwenye mkutano wa Young global leaders, Mkutano uliandaliwa na serikali ya Italy wakishirikiana na USA. kila mmoja alivutiwa na mazungumzo yake kwani aliongea kwa ufasaha na upana zaidi


View attachment 968859
Pia vijana tujitahidi kutumia resource tulizonazo kwa kuleta maendeleo binafsi na kwa taifa. Kama yeye mtaji wake ulikuwa wa bando tu vipi mimi na wewe
Hii app niliona ikitangazwa nikaipuuziaga daah ngoja nikaichukue kwanza
 
Back
Top Bottom